Masharti yawe ni mawili tu ama watuletee trilioni za dola walizompa Trump katikati ya mateso ya wapalestina au waingilie kati kuwaokoa kutokana na vifo vya njaa.Vyenginevyo tususie tende na...
Tukiangalia mafanikio machache ya kiongozi wa kijeshi kutoka katika taifa ya afrika magharib Kepten IBRAHIM TRAORE watu husema he's nothing compare to Paul kagame
Hebu kumbuken huyu mwamba hana...
Rais Biden akutwa na saratani ya tezi dume, imesambaa kwenye mifupa
Rais wa zamani wa Marekani, Joe Biden (82) amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya tezi dume ambayo imesambaa hadi kwenye...
IDF inatangaza Khan Younis yote kuwa eneo la mapigano, raia kuhama haraka kutoka katika eneo hilo.
IDF inasema Wapalestina wanaoishi ndani na karibu na mji mkubwa wa kusini wa Gaza wa Khan Younis...
Raia mmoja wa Israel mwenye asili ya kiarabu leo akiwa kwenye usafiri wa Umma wakati anashuka alimtemea mate Mwanajeshi wa jeshi la Israel IDF kisha kukimbia tukio hilo lilinaswa na kamera za...
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Operation Gideon-Charriots inaendelea vizuri na itafanikiwa kuwabinya magaidi wa Hamas mpaka malengo ya vita yatimie.
Mpaka asubuhi hii ya leo...
Huyu mtawala mpya wa Urusi ameamua kujitenga kabisa na Urusi na Iran na kuegemea magharibi,
Juzi amekutana na Trump Saudi Arabia, jana ametangaza kuachana na Urusi kuzalisha pesa zake.
Mdogo wa mwisho wa Yahya Sinwar na Mohamed Sinwar Zacharia Sinwar ambaye alikuwa Professor katika chuo kiislamu huko Knan Younis naye jana alilazimishwa kuwafuata ndugu zake walioangamizwa na...
Kituo cha televisheni cha Saudi Al-Hadath kinaripoti kwamba mwili ya kiongozi mkuu wa Hamas Mohammed Sinwar na wasaidizi wake kumi ilipatikana ndani ya handaki huko Khan Yunis, kulingana na...
Netanyau huyu jamaa inawezekana ni muda mrefu alikuwa akitafuta sababu ya kuwachabanga Hamas. Hamas wakajichanganya. Wakajaa kwenye mfumo. Sasa kichaa kapewa panga. Anapasua roho zao.
Hamas...
Mimi: Hebu tupige stori kidogo kuhusu m23 congo
Chatgpt:
M23 (March 23 Movement) ni kundi la waasi lililoko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Lilianzishwa mnamo 2012 na...
Jana Trump alikuwa Qatar, ukitazama ziara yake Qatar wamecheza na akili yake. Yale mapokezi ya msafari wa ngamia na cyber trucks si mchezo. Jamaa wakafamfanya ajisiikie kama Mfalme, pia wakampa...
IDF inasema 'inanyakua maeneo ya kimkakati' inapozindua hatua za kwanza za uvamizi mpya wa Gaza unaoitwa 'Magari ya Gideoni'
IDF inasema imeanzisha hatua za kwanza za mashambulizi yake makubwa...
Chanzo cha ugomvi kati ya Morocco na Algeria ni mchanganyiko wa sababu za kihistoria, kisiasa, na kijiografia, lakini sababu kuu kabisa ni mgogoro wa Sahara Magharibi (Western Sahara).
1. Mgogoro...
Katika ziara ya Trump kwa nchi tatu za kiarabu za mashariki ya kati iliyomalizika leo amekomba utajiri mkubwa wa nchi hizo.Trump amefanya mikataba mikubwa ya kibiashara na ya kiulinzi ndani ya...
Kweli Marekani imepata mchambaji! Hawa wasanii nao walijitakia wenyewe!
Trump targets Taylor Swift and Bruce Springsteen on Truth Social
The Dark singer accusing Trump of being "unfit" for...
Ndege-vita za Israel sasa hivi zinapiga kwenye bandari zinazomilikiwa na Houth hii inafuatia Jaribu lao la kurusha kombola la balestic huko Israel hata hivyo kombola hilo li lipo polewa na Mifumo...
China,Azerbajan na Iran kila moja kwa upande wake zimeilaumu India kuanzisha vita na Pakistan kwa sababu zisizo na msingi.
Kwa upande wa Uturuki raisi Tayep Erdogan amesema yeye analaani...
Wadau hamjamboni nyote?
The Trump administration is working on a plan to permanently relocate as much as one million Palestinians from the Gaza Strip to Libya, NBC News reports, citing five people...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.