Operation Gideon Chariots Inaendelea vizuri-Benjamin Netanyahu!!!

Operation Gideon Chariots Inaendelea vizuri-Benjamin Netanyahu!!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
8,952
Reaction score
7,582
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Operation Gideon-Charriots inaendelea vizuri na itafanikiwa kuwabinya magaidi wa Hamas mpaka malengo ya vita yatimie.

Mpaka asubuhi hii ya leo magaidi wa Hamas wanapigwa kila sehemu na majeshi yetu yamezishika sehemu zote mhimu.
Kwa Wahouthi tunajua aliye nyuma yao nasi tuna mw angalia kwa macho mawili!!


View: https://x.com/lionsofzion_org/status/1924196910640058388?s=61
 

Attachments

  • telegram_video.mp4
    4 MB
  • telegram_video.mp4
    3.4 MB
  • telegram_video.mp4
    2.5 MB
  • telegram_video.mp4
    6 MB
IDF hana huruma kwa mabomu anayoshusha leo ni habari ingine
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Operation Gideon-Charriots inaendelea vizuri na itafanikiwa kuwabinya magaidi wa Hamas mpaka malengo ya vita yatimie.

Mpaka asubuhi hii ya leo magaidi wa Hamas wanapigwa kila sehemu na majeshi yetu yamezishika sehemu zote mhimu.
Kwa Wahouthi tunajua aliye nyuma yao nasi tuna mw angalia kwa macho mawili!!


View: https://x.com/lionsofzion_org/status/1924196910640058388?s=61

Netanyahu amezeeka kinoma hadi amekuwa mdogo nadhani kwa sasa atakuwa anavaa troiser size 32
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Operation Gideon-Charriots inaendelea vizuri na itafanikiwa kuwabinya magaidi wa Hamas mpaka malengo ya vita yatimie.

Mpaka asubuhi hii ya leo magaidi wa Hamas wanapigwa kila sehemu na majeshi yetu yamezishika sehemu zote mhimu.
Kwa Wahouthi tunajua aliye nyuma yao nasi tuna mw angalia kwa macho mawili!!


View: https://x.com/lionsofzion_org/status/1924196910640058388?s=61

Aljazeera hayo majengo hawataki kuyaonesha maana wanasema Gaza imekuwa flat
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Operation Gideon-Charriots inaendelea vizuri na itafanikiwa kuwabinya magaidi wa Hamas mpaka malengo ya vita yatimie.

Mpaka asubuhi hii ya leo magaidi wa Hamas wanapigwa kila sehemu na majeshi yetu yamezishika sehemu zote mhimu.
Kwa Wahouthi tunajua aliye nyuma yao nasi tuna mw angalia kwa macho mawili!!


View: https://x.com/lionsofzion_org/status/1924196910640058388?s=61

hivi hivi tu ila tunaweza fika nayo hii vita mpk 2030
 
Kama ni majuto Hamas wanajuta hasa basi tu wengine hawalioni hilo haya tuseme ukweli walichofanikiwa wao ni kipi? Akishamalizana na Gaza Rasmi anahamia kwa Houth
 
Back
Top Bottom