Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 8,952
- 7,582
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Operation Gideon-Charriots inaendelea vizuri na itafanikiwa kuwabinya magaidi wa Hamas mpaka malengo ya vita yatimie.
Mpaka asubuhi hii ya leo magaidi wa Hamas wanapigwa kila sehemu na majeshi yetu yamezishika sehemu zote mhimu.
Kwa Wahouthi tunajua aliye nyuma yao nasi tuna mw angalia kwa macho mawili!!
View: https://x.com/lionsofzion_org/status/1924196910640058388?s=61
Mpaka asubuhi hii ya leo magaidi wa Hamas wanapigwa kila sehemu na majeshi yetu yamezishika sehemu zote mhimu.
Kwa Wahouthi tunajua aliye nyuma yao nasi tuna mw angalia kwa macho mawili!!
View: https://x.com/lionsofzion_org/status/1924196910640058388?s=61