International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Magaidi wa Houthi wanaendelea kuchezea shurubu za SIMBA kwa kurusha kombola la Balistic nchini Israel na limepopolewa na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel.
0 Reactions
22 Replies
998 Views
Rais Donald Trump na Emir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani walitia saini mikataba mikuu ya ulinzi na kiuchumi inayolenga kuimarisha uwezo wa kijeshi wa Qatar na kuimarisha uhusiano wa...
10 Reactions
57 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo Magaidi wa Hamas wamepata kipondo cha kufa mtu, Kipondo hicho ni katika maandalizi Operation pendwa ya Gideon’s Chariots inayotarajiwa kuanza mara tu baada ya ziara ya Trump...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
Mzuka wana jamvi ?? Nashangaa sana chuki zimekuwa nyingi kwa Kamanda Rais wa Burkinafaso Captain Ibrahim Traore kutoka kwa Pro_West maarufu humu jukwaani tena chuki za kipuuzi sana. Tukianza na...
26 Reactions
109 Replies
3K Views
CIA iliweka mezani kiasi cha fedha za kimarekani $10 million kwa yoyote atakaye mpata Muhammad Al-Jawlani https://x.com/USEmbassySyria/status/864144602584035328?t=jV1xFNQFpYt4svya5WAz6w&s=19 Leo...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Waziri wa Mambo ya Ndani, Jacquemain Shabani, amethibitisha kuwa Mahakama zimetakiwa kufuta vyama kadhaa vya kisiasa, kikiwemo chama cha PPRD (People’s...
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Grok kwa siku kadhaa zilizopita ilikuwa ikiambatanisha sentensi zinazungumzia mauaji ya kimbari ya watu weupe katika kila jibu lake hata katika mambo yasiyohusiana na jambo hilo!
2 Reactions
6 Replies
531 Views
IDF hawacheki na wowote. Pamoja na Hamas kwa sasa kujaribu kuchagua viongozi wao kimya kimya bado IDF wanapoamua kuwa check wanawacheck tu. Kaka yake Mohammad alifumuliwa komwe na hao Mayahudi...
12 Reactions
84 Replies
3K Views
Fyeka fyeka ya Israel huko Gaza imewakumba viongozi wengi wa Hamas akiwemo msemaji Mkuu wa Magaidi hao!!!
6 Reactions
58 Replies
3K Views
Magaidi wa Hezbollah wanaendelea kuangamizwa huko Lebanon baada na kushambuliwa na drone ya Israel 🇮🇱
3 Reactions
8 Replies
546 Views
Ukiona mtu anazushiwa sifa lede kede basi ujue huyo mtu ni mweupe kichwani. Sasa inadaiwa eti Ibrahim Traore kamuandikia barua Papa Leo. Inadaiwa ni barua ambayo hakuna kiongozi mwingine wa...
2 Reactions
59 Replies
3K Views
Sio kwa mapenzi haya. Hapo ni Emirates Trump katua leo baada ya kutoka ziara Qatar. Wamempangia Trump warembo wa kiarabu vichwa wazi, wakizunguka kwa madaha mbele ya mkuu. Ingawa mkuu anawaza hela...
0 Reactions
0 Replies
263 Views
Moscow: Jenarali katili aliye iadhibu Ukraine pamoja na Wanamgambo wa NATO na kufanikiwa kuteka miji muhimu huko Ukraine ameamua kupunguza uzito kg 40 na kubaki na mwili mwepesi kiutendaji...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Mahakama ya rufaa ya Mauritania Jumatano imemuhukumu Rais wa zamani Mohamed Ould Abdel Aziz kifungo cha miaka 15 jela na kutoa faini ya dola milioni 3, na kuongeza kifungo cha awali cha miaka...
1 Reactions
3 Replies
390 Views
Serikali ya Sudan Kusini kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imekanusha uvumi unaosambaa kuhusu hali ya afya ya Rais Salva Kiir Mayardit. Kupitia taarifa rasmi, wizara...
1 Reactions
12 Replies
925 Views
The United Kingdom is on the cusp of making history as Dame Barbara Woodward, a seasoned diplomat and former ambassador to China, is widely tipped to become the first woman to lead the Secret...
0 Reactions
7 Replies
836 Views
Msemaji wa IDF wa lugha ya Kiarabu ametoa onyo la kuhamishwa kwa maeneo kadhaa katika Jiji la Gaza, ikiwa ni pamoja na Hospitali ya Shifa na Chuo Kikuu cha Kiislamu hatakiwi mtu yeyote maeneo...
3 Reactions
4 Replies
422 Views
Jana katika ziara ya rais wa Marekani Trump wale panya wa Ikulu Saudi Arabia royal palace guards makomandoo walinzi wa mfalme walionekana wakiwaandalia kahawa Trump na MBS wakivaa kanzu nyeupe na...
9 Reactions
47 Replies
3K Views
Mazungumzo ya ngazi ya juu ya uchumi na biashara kati ya China na Marekani yamefanyika hivi karibuni huko Geneva, na kupata matokeo muhimu. Hali ambayo inaonyesha kuwa baada ya mvutano mkali wa...
2 Reactions
1 Replies
408 Views
Fikiria mateso ya wakristo na wayahudi wanaoishi middle east. Fikiria muslim brother hood na itikadi kali itakavyo iharibu uchumi wa dubai, kuwaiti na saudia Fikiria vibanda vya umachinga hapa...
1 Reactions
3 Replies
291 Views
Back
Top Bottom