Mwalimu mmoja nchini Marekani anashutumiwa kwa kufanya mapenzi na mwanafunzi wake wa kiume mwenye umri wa miaka 14.
Richa ya mwalimu huyo kuwa mke wa mmoja ya mabosi wa taasisi hiyo ya elimu...
Wanawake kadhaa wamavua nguo zao nje ya bunge la ikiwa ni njia ya kupinga mapingamizi kadhaa dhidi ya wanawake.
Wanawake wanne walisema kuwa wanafanya kitendo hicho ili kushinikiza kuwepo kwa...
Rais wa Botswana kushoto Ian Khama na mwenzake wa Zimbabwe Robert Mugabe
Rais wa Botswana Ian Khama amemtaka mwenzake wa Zimbabwe Robert Mugabe kujiuzulu mara moja kulingana na chombo cha habari...
This is the largest corporate cash buyout in history. Mega-giant Bayer put US $ 66 billion on the table, and Mega-giant Monsanto said yes.
When you think of this merger, take into consideration...
Takriban watu 17 wamefariki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia maandamano yanayomtaka rais Joseph Kabila kujiuzulu.
Watatu kati yao walikuwa maafisa wa polisi ambao mmoja wao...
Runinga ya taifa la Misri imempiga kalamu mkuu wa idara ya habari, Mostafa Shehata, baada ya mazungumzo yake na Rais Addul Fattah Al- Sisi kuonyeshwa kwa bahati mbaya, shirika la habari la AFP...
Wale wapenzi wa Mugabe mnaoshinda JF kumsifu hatimaye wazimbawe kila kukicha maandamano. Wanzibabwe wamemchoka Mugabe.Uchumi umeporomoka kwa kiwango cha "lami". Serikali taabani hadi kupunguza...
The Revenue Mobilization Allocation and Fiscal Commission, RMAFC, on Tuesday frowned on proposals by some prominent Nigerians for the federal government to sell the multi-billion dollar Nigeria...
Africa’s richest man, Aliko Dangote, has enumerated ways Nigeria can come out of the current recession ravaging the economy.
The business mogul in an interview with CNBC Africa, urged the Federal...
Rais wa Botswana Ian Khama amemshauri Rais Robert Mugabe kuachia ngazi bila kupoteza muda na kuruhusu uongozi wenye damu mpya uchukue madaraka.
Amesema kuwa uchumi wa Zimbabwe umekuwa kwenye...
Foster City residents Jon and Linda Grant stood outside the Tanzanian Embassy in Washington on Tuesday, warning others of their experience in the country and pleading with the Tanzanian ambassador...
Aliyekuwa rais wa zamani wa Marekani kupitia tiketi ya chama cha Republican George HW Bush amesema kuwa atampigia kura mgombea wa urais kupitia tiketi ya Democrat Hillary Clinton .
Bwana Bush...
1. North Korea ni kinyume na sheria kusoma biblia au quraan, na atakayefumwa akisoma vitabu hivyo vitakatifu adhabu yake ni kifo.
2. Hayaruhusiwi maongezi ya kawaida, baina ya mwanaume na...
Wa salaam wanajamvi.
Swali langu ni hili: Kwanini wamarekani weusi hulalamika wanapo kojolewa na wamarekani weupe, Ikiwa wao wenyewe hunyeana?
Hivi punde kumetokea mauaji ya kijana mweusi huko...
Samsung imeanza mchakato wa kuwafidia wateja walionunua simu hatari za Galaxy Note 7, kazi hiyo imeanza Uingereza na Ireland
Kampuni hiyo imedai kuwa imerekebisha tatizo la berti katika simu...
Mlipuko umetokea jijini New York nchini Marekani na kuacha watu 29 wamejeruhiwa na hamna taarifa za vifo.
Jeshi la Polisi limethibitisha mlipuko huo ulikuwa ni wa makusudi na ulipangwa na watu...
Hospitali kubwa nchini Zimbabwe imesitisha huduma za upasuaji baada ya kuishiwa madawa na taifa kuwa katika hali mbaya ya kiuchumi.
Serikali ya rais Robert Mugabe inakabiliwa na uhaba wa fedha na...
Makao makuu ya vyama vitatu vya upinzani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo yamechomwa moto katika mji mkuu wa Kinshasa huku mili miwili ilioungua ikipatikana ndani yake.
Mashambulio hayo...
Aliyekuwa rais wa zamani wa Marekani kupitia tiketi ya chama cha Republican George HW Bush amesema kuwa atampigia kura mgombea wa urais kupitia tiketi ya Democrat Hillary Clinton .
Bwana Bush...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.