Raia wa USA walizoea kuangalia tu kwenye TV jinsi Jeshi lao linavyosurubu raia wa nchi nyingine oversees, sasa kama wenyewe wasemavyo chickens coming home to roost, baada ya raia wa USA aliyetokea...
Mahakama ya Gabon 'yahalalisha' ushindi wa Bongo
Mahakama ya Katiba ya Gabon imeuthibitisha ushindi wa Rais Ali Bongo, ikitupilia mbali hoja ya mpinzani wake, Jean Ping, kwamba kiongozi huyo...
Rais wa Zimbabwe akihutubia Mkutano kwa wajumbe wa UN Jana ameziomba nchi za Marekani,Uingereza na marafiki zao kwa ujumla kuondoa vikwazo vya kiuchumi na fedha kwa Wazimbabwe wanaoumia kila...
Polisi wamelinasa gari la aina yake linaloshukiwa lilitumika kurusha dawa za kulevya kutoka upande mmoja wa mpakani hadi mwingine, kati ya Arizona na Mexico.
Kutokana na uimarishaji wa msako...
Kombora lililofyatuliwa na wanamgambo wa Islamic State dhidi ya kambi ya jeshi la Marekani nchini Iraq lilikuwa na kemikali, jeshi la Marekani limethibitisha.
Hakuna aliyejeruhiwa katika...
Marekani yaomba msamaha kwa rais wa Syria kutokana na mauaji ya askari wa Syria waliouwawa na mashambulizi ya ndege zinazoongozwa na washirika wa Marekani.
===========================
Meanwhile...
Marekani imesema ndege za kivita za Urusi zilihusika kushambulia msafara wa misaada nchini Syria siku ya Jumatatu na kusababisha vifo.
Maafisa wa Marekani wameiambia BBC ndege mbili za...
Ted Cruz endorsed Donald Trump for the presidency Friday afternoon, a stunning turn of events after a contentious primary filled with nasty personal attacks and a dramatic snub at the Republican...
Mgombea uraisi wa Marekani wa chama cha Republican bwana Donald Trump sasa amekiri kwamba anakubali raisi Barack Obama ni raia halali wa kuzaliwa wa Marekani.
Cheti halisi cha kuzaliwa cha raisi...
Boti iliyokuwa imebeba wahamiaji haramu wapatao 600 imezama katika pwani ya Misri na kupelekea kwa uchache watu 29 kufariki dunia.
Ripoti zinasema kuwa, boti hiyo ilikuwa imewabeba abiria...
Maafisa waandamizi wa Misri wamesema jumla ya miili 148 itolewa katika maji katika Pwani ya nchi hiyo, ikiwa ni siku chache baada ya mamia ya wahamiaji kuwa safarini kuelekea Ulaya.
========...
Philippines President to extend violent war on drugs for six more months
Philippine President Rodrigo Duterte has said his country's drug problem was far worse than he anticipated when taking...
Wimbi la askari wa marekani kuwaua wamarekani weusi bado linaendelea ambapo askari mmoja wa kike mweupe kamuua mtu mmoja mweusi ambae hakua na silaha.
Binafsi naona sehemu kubwa ya weusi...
illary Clinton aongoza kura za maoni
Hillary Clinton
WASHINGTON, Marekani
KURA za maoni za taifa za urais Marekani zimekuja na habari njema kwa kambi ya mgombea urais wa Chama cha...
Aliko Dangote, mtu tajiri zaidi barani africa, ana mpango wa kuinunua klabu ya Arsenal kutoka nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne
Dangote ambaye ni raia wa Nigeria ana thamani ya...
Mtandao wa Yahoo umethibitisha kuwa wadukuzi wamedukua taarifa za zaidi ya watumiaji milioni mia tano katika akaunti zake za watumiaji.
Hata hivyo Yahoo imesema inaamini kuwa shambulio la...
Kiongozi wa zamani wa waasi DRC anakabiliwa na mashtaka 18
Aliyekuwa kiongozi wa waasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Bosco Ntaganda ameanza kula baada ya kugoma kwa takriban wiki mbili...
One of Hollywood's highest profile marriages is over.
Angelina Jolie has filed for divorce from husband Brad Pitt, a source familiar with the filing confirmed to CNN.
Pitt and Jolie got married...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.