Treni mpya za jijini Luanda, Angola

Treni mpya za jijini Luanda, Angola

bongo-live

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
1,733
Reaction score
2,297
Africa inazidi kutisha kwa kasi ya maendeleo hasa kimiuondomsingi. Hizi treni mpya zinapiga ruti toka mji wa lobito hadi mji mkuu wa Luanda.
1473973404910.jpg
1473973409815.jpg
1473973418404.jpg
1473973436313.jpg
1473973441865.jpg
1473973448174.jpg
1473973452578.jpg
1473973466824.jpg
1473973471394.jpg
1473973473984.jpg
1473973476654.jpg
1473973486384.jpg
1473973491313.jpg
1473973495994.jpg
1473973507973.jpg
 
Treni za Dar ni ndoto manake waliopanga ramani ya mji sijui walikuwa wanawaza nn.wenzetu wako makini mpaka inatia hasira
 
Mbona na nini mmenunua ndege? Si zitakuja soon, mambo kidogo kidogo wazee
 
Pamoja na mapungufu yao ya hapa na pale lazima tukubali kwamba Wachina wameleta mapinduzi mabukwa kwenye nyanja za usafiri Barani Africa - wamejenga reli katika nchi zifuatazo: Nigeria, Angola, Kenya, Ethiopia, Mali, Congo Brazzavile nk. Ujenzi wa railway stations nchini Angola ni mzuri sana nafikiri kuna umuhimu wa Serikali yetu kuwatumia makandrasi wa Kichina waliojenga Stations za Angola kuja nchini mwetu kutujengea Railway stations za reli ya kati.
 
Back
Top Bottom