ATCL ikizindua kwa shangwe ndege zake mbili Dash400, RwandaAir NATO kupokea ndege yake mpya ya Dollar milioni 200+
http://allafrica.com/stories/201609280161.html
Mdogo mdogo tutafika. Ila...
Philippine President Rodrigo Duterte said Monday he would seek closer economic ties with China and Russia, as the local currency and stock market extended declines following Western criticism of...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imemhukumu mwanamgambo wa Kiislamu raia wa Mali Ahmad Al Faqi Al Mahdi kifungo cha miaka tisa jela.
Al-Mahdi alikuwa ameshtakiwa makosa ya uhalifu...
Raisi wa USA Barack Obama amepiga veto kupinga nchi ya Saudi Arabia kushitakiwa na Congress ya USA!
Congress ya USA ilikuwa inataka kuishitaki nchi ya Saudi Arabia kwa ushiriki wake wa Septemba...
Ndege ya kwanza kusafiri moja kwa moja kutoka uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) hadi Marekani inatarajiwa kufanya safari hiyo mnamo Novemba 2016, Serikali imetangaza.
Hii ni...
Habari wadau.
Leo ni siku mhimu kwa siasa za taifa kubwa na babe duniani kiuchumi na kijeshi.
Mdahalo huo unatarajiwa kuonwa na watu zaidi ya billion moja duniani note kwa saa za africa...
Korea Kusini imesema kuwa tayari ina mpango mkakati wa kumuua Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Ulinzi Han Min-koo alipokuwa akijibu swali Bungeni.
Amesema...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imemhukumu mwanamgambo wa Kiislamu raia wa Mali Ahmad Al Faqi Al Mahdi kifungo cha miaka tisa jela.
Al-Mahdi alikuwa ameshtakiwa makosa ya uhalifu...
Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya mhalifu mwenye silaha kurusha risasi kiholela katika eneo moja la biashara huko Houston Marekani.
Mhalifu alifanikiwa kuuawa na polisi...
Wafanyakazi wa kampuni moja ya ndege nchini India walilazimika kutumia kifaa cha kuzima moto ili kuizima simu aina ya Samsung iliyokuwa ikifuka moshi
Simu hiyo ya Note 2 ilikuwa ikitoa miale ya...
Marekani imesema inasikitika juu ya shambulio lililoongozwa na ndege zake za kivita ambapo, bila kukusudia zililipua kambi za wanajeshi wa Syria.
Wakati huohuo Marekani imekosoa Urusi kwa...
Kiongozi anayekabiliwa na upinzani wa kundi la Nigeria Boko Haram Abubakar Shekau, ametoa kanda ya video akikana madai ya jeshi kuwa aliuawa au amepata majeraha mabaya wakati wa mashambulizi ya...
Habari,
Afrika imepoteza takribani Tembo 111,000 katika muongo mmoja uliopita kufuatia kuwepo kwa kiwango kikubwa cha ujangili katika upande wa mashariki wa bara hili.
Ujangili umesababisha...
Polisi wa mji wa Charlotte, Kaskazini mwa Carolina nchini Marekani wametoa video ya tukio la kifo cha bwana Keith Lamont ikionyesha maofisa wa polisi walio husika kwenye tukio hilo lililo...
Wachambuzi wameanza kulinganisha picha zake na kugundua kuna tofauti kwenye urefu wa vidole, maskio na mengineyo. Sasa wameibuka na kauli kwamba anawazingua akimtumia pacha au mwanamke...
Jumapili njema WanaJF,
Kwa waumini wa Kanisa Katoliki, kama mimi, huzingatia kwa umakini 'neno' la Papa. Kasema haya, nanukuu:
" HATUTACHOKA KURUDIA KUWA JINA LA MUNGU HALIWEZI KUTUMIKA...
Gavana wa jimbo la North Carolina ametangaza hali ya hatari katika mji wa Charlotte, wakati ghasia zinaendelea kufuatia polisi kumuua mwanamume mweusi.
Ghasia zilizuka kwa usiku wa pili baada ya...
Katika pita pita yangu, nimekutana na hii wanaJF, inatia hamasa kwa nchi kama yetu yenye kila aina ya resources kuendeleza nchi na watu wako.
Bofya hapa chini ni dakika 10 tu, SOUTH KOREA...
Mtuhumiwa wa tukio la kuwapiga risasi watu watano kwenye maduka mjini Washngton akamatwa baada ya msako mkali wa masaa 24. Polisi wamesema Arcan Cetin alijulikana kwenye tukio hilo baada ya gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.