International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

ATCL ikizindua kwa shangwe ndege zake mbili Dash400, RwandaAir NATO kupokea ndege yake mpya ya Dollar milioni 200+ http://allafrica.com/stories/201609280161.html Mdogo mdogo tutafika. Ila...
1 Reactions
2 Replies
854 Views
Philippine President Rodrigo Duterte said Monday he would seek closer economic ties with China and Russia, as the local currency and stock market extended declines following Western criticism of...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapo hewani star TV.
0 Reactions
1 Replies
834 Views
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imemhukumu mwanamgambo wa Kiislamu raia wa Mali Ahmad Al Faqi Al Mahdi kifungo cha miaka tisa jela. Al-Mahdi alikuwa ameshtakiwa makosa ya uhalifu...
0 Reactions
1 Replies
696 Views
Raisi wa USA Barack Obama amepiga veto kupinga nchi ya Saudi Arabia kushitakiwa na Congress ya USA! Congress ya USA ilikuwa inataka kuishitaki nchi ya Saudi Arabia kwa ushiriki wake wa Septemba...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndege ya kwanza kusafiri moja kwa moja kutoka uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) hadi Marekani inatarajiwa kufanya safari hiyo mnamo Novemba 2016, Serikali imetangaza. Hii ni...
0 Reactions
54 Replies
8K Views
Habari wadau. Leo ni siku mhimu kwa siasa za taifa kubwa na babe duniani kiuchumi na kijeshi. Mdahalo huo unatarajiwa kuonwa na watu zaidi ya billion moja duniani note kwa saa za africa...
2 Reactions
137 Replies
12K Views
Korea Kusini imesema kuwa tayari ina mpango mkakati wa kumuua Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Ulinzi Han Min-koo alipokuwa akijibu swali Bungeni. Amesema...
2 Reactions
49 Replies
12K Views
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imemhukumu mwanamgambo wa Kiislamu raia wa Mali Ahmad Al Faqi Al Mahdi kifungo cha miaka tisa jela. Al-Mahdi alikuwa ameshtakiwa makosa ya uhalifu...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya mhalifu mwenye silaha kurusha risasi kiholela katika eneo moja la biashara huko Houston Marekani. Mhalifu alifanikiwa kuuawa na polisi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wafanyakazi wa kampuni moja ya ndege nchini India walilazimika kutumia kifaa cha kuzima moto ili kuizima simu aina ya Samsung iliyokuwa ikifuka moshi Simu hiyo ya Note 2 ilikuwa ikitoa miale ya...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Marekani imesema inasikitika juu ya shambulio lililoongozwa na ndege zake za kivita ambapo, bila kukusudia zililipua kambi za wanajeshi wa Syria. Wakati huohuo Marekani imekosoa Urusi kwa...
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Kiongozi anayekabiliwa na upinzani wa kundi la Nigeria Boko Haram Abubakar Shekau, ametoa kanda ya video akikana madai ya jeshi kuwa aliuawa au amepata majeraha mabaya wakati wa mashambulizi ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari, Afrika imepoteza takribani Tembo 111,000 katika muongo mmoja uliopita kufuatia kuwepo kwa kiwango kikubwa cha ujangili katika upande wa mashariki wa bara hili. Ujangili umesababisha...
0 Reactions
1 Replies
999 Views
Polisi wa mji wa Charlotte, Kaskazini mwa Carolina nchini Marekani wametoa video ya tukio la kifo cha bwana Keith Lamont ikionyesha maofisa wa polisi walio husika kwenye tukio hilo lililo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wachambuzi wameanza kulinganisha picha zake na kugundua kuna tofauti kwenye urefu wa vidole, maskio na mengineyo. Sasa wameibuka na kauli kwamba anawazingua akimtumia pacha au mwanamke...
4 Reactions
57 Replies
10K Views
Jumapili njema WanaJF, Kwa waumini wa Kanisa Katoliki, kama mimi, huzingatia kwa umakini 'neno' la Papa. Kasema haya, nanukuu: " HATUTACHOKA KURUDIA KUWA JINA LA MUNGU HALIWEZI KUTUMIKA...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Gavana wa jimbo la North Carolina ametangaza hali ya hatari katika mji wa Charlotte, wakati ghasia zinaendelea kufuatia polisi kumuua mwanamume mweusi. Ghasia zilizuka kwa usiku wa pili baada ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika pita pita yangu, nimekutana na hii wanaJF, inatia hamasa kwa nchi kama yetu yenye kila aina ya resources kuendeleza nchi na watu wako. Bofya hapa chini ni dakika 10 tu, SOUTH KOREA...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Mtuhumiwa wa tukio la kuwapiga risasi watu watano kwenye maduka mjini Washngton akamatwa baada ya msako mkali wa masaa 24. Polisi wamesema Arcan Cetin alijulikana kwenye tukio hilo baada ya gari...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom