Samsung yaanza kuwafidia wateja walionunua vimeo, Galaxy Note 7

Samsung yaanza kuwafidia wateja walionunua vimeo, Galaxy Note 7

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,276
Samsung imeanza mchakato wa kuwafidia wateja walionunua simu hatari za Galaxy Note 7, kazi hiyo imeanza Uingereza na Ireland

Kampuni hiyo imedai kuwa imerekebisha tatizo la berti katika simu hizo, lililosababisha kulipuka na itaanza kuwapa wateja walionunua simu zingine, uingereza ni nchi ya kwanza kuanza kupokea simu hizo mpya za Note 7
1474355588008.jpg


Kwa wateja wa Marekani wataanza kupata simu zao, Jumatano September 21. Samsung iliingiza Galaxy Note 7 mwisho mwa Agosti, wiki chache kabla ya kuzinduliwa kwa iPhone 7 ya Apple, mpinzani wake mkuu

Baada ya simu hizo kuonekana na tatizo la kuchemka, iliziondoa simu hizo sokoni, Kampuni hiyo ilikuwa imetengeneza simu hizo milioni 2.5 na tayari milioni 1 zilikuwa zimenunuliwa.
 
Kama unajua Tanzania watabadilisha nini niambie au wakifikia zamu ya Tanzania usisite kunipa taarifa,wanirudishie hela yangu nikamate iPhone7.
 
Back
Top Bottom