MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,368
Rais wa Zimbabwe akihutubia Mkutano kwa wajumbe wa UN Jana ameziomba nchi za Marekani,Uingereza na marafiki zao kwa ujumla kuondoa vikwazo vya kiuchumi na fedha kwa Wazimbabwe wanaoumia kila kukicha kwa miaka 16 sasa.
Ametoa speech mzuri tu pamoja na umri mkubwa kwa dk 16
Ila wapate kiongozi mwingine wa nchi sasa.
Ametoa speech mzuri tu pamoja na umri mkubwa kwa dk 16
Ila wapate kiongozi mwingine wa nchi sasa.