The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,452
- 17,156
Wimbi la askari wa marekani kuwaua wamarekani weusi bado linaendelea ambapo askari mmoja wa kike mweupe kamuua mtu mmoja mweusi ambae hakua na silaha.
Binafsi naona sehemu kubwa ya weusi wanaouwawa wengi wao hua ni kutokana na ubishi wao. Mnakumbuka yule dogo Brown alieuwawa kwa kukaidi amri ya polisi aliemtaka kudodonga bunduki bandia aliyokua nayo.
Matukio ni mengi ya mfano lakini hili la leo naona pia ni ukaidi wa watu weusi dhidi ya ukaidi wa amri ya polisi. Huyu wa leo alikua akiamriwa na polisi, akatii kwa kunyoosha mikono juu lakini hakusimama akaenda hadi kwenye gari yake upande wa dereva na akashussha mikono.
Hii ilipelekea askari wa kike kudhani kua mtu huyo anataka kuchukua bunduki yake iliyokua kwwnye gari au mfukoni, kwa nini alishusha mikono kabla polisi hawajamfikia,hata ningekua mimi ningemtwanga chuma.
Binafsi naona sehemu kubwa ya weusi wanaouwawa wengi wao hua ni kutokana na ubishi wao. Mnakumbuka yule dogo Brown alieuwawa kwa kukaidi amri ya polisi aliemtaka kudodonga bunduki bandia aliyokua nayo.
Matukio ni mengi ya mfano lakini hili la leo naona pia ni ukaidi wa watu weusi dhidi ya ukaidi wa amri ya polisi. Huyu wa leo alikua akiamriwa na polisi, akatii kwa kunyoosha mikono juu lakini hakusimama akaenda hadi kwenye gari yake upande wa dereva na akashussha mikono.
Hii ilipelekea askari wa kike kudhani kua mtu huyo anataka kuchukua bunduki yake iliyokua kwwnye gari au mfukoni, kwa nini alishusha mikono kabla polisi hawajamfikia,hata ningekua mimi ningemtwanga chuma.