International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kwa ufupi sana resistance imesimama zaidi Yemen kwa usaidizi wa karibu kabisa " technically" kutoka Iran. Tumeona shifting kutoka US zaidi ya mara 3 kuhusu houthi na misimamo Yao. Israel imekua...
4 Reactions
13 Replies
620 Views
Maelfu ya vijana wamejitokeza tena mitaani katika mji mkuu Antananarivo, wakiendelea kushinikiza serikali kushughulikia ukosefu wa maji, kukatika kwa umeme, na ufisadi. Tizama hali ilivyokuwa...
1 Reactions
9 Replies
364 Views
Seychelles itashiriki tena uchaguzi wa urais baada ya kukosekana mshindi wa moja kwa moja, kwa taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Septemba 28, 2025. Mgombea wa upinzani Patrick Herminie...
3 Reactions
1 Replies
207 Views
Makanisa huko Ulaya ambako ndio watu wa mwanzo kupokea ukristo na baadae waliowatuma wamissionari kuja kuwalaghai Waafrica na kuwaingiza kwenye Imani yao ambayo Sasa wameanza kuwapeleka Sodoma...
3 Reactions
16 Replies
481 Views
Maandamano hayo yalioyotokea katika miji mikubwa ya italia yenye wito wa kuupinga uhusiano wa kifedha, kisiasa na kijeshi kati ya Italia na Israel, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inaingia...
1 Reactions
9 Replies
404 Views
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amemteua Jenerali wa Jeshi 'Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu licha ya Waandamanaji kutaka Rais ajiuzulu Uteuzi wa 'Ruphin Fortunat Zafisambo'...
0 Reactions
1 Replies
318 Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, amejiweka katikati ya mazungumzo kuhusu amani ya Gaza, akionyesha juhudi binafsi za kuhakikisha makubaliano yanafikiwa haraka. Tofauti kubwa katika mazungumzo haya...
0 Reactions
2 Replies
248 Views
Hata wewe unaweza kuproove. 1. Tumia app ya kuedit picha kama Photoshop, unaweza tumia ya online photopea.com 2. Download logo ya chatgpt 3. weka logo 2 za Chat GPT ( Duplicate ) 4. Logo...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Kristi Noem, mwanamama mtata anayesinamia idara ya uhamiaji Marekani (ICE) amejikuta katika kizazaa baada ya kufungiwa milango na kuzuiliwa nje asitumie choo cha jengo la manasipaa katika jimbo la...
5 Reactions
6 Replies
416 Views
Waziri Mkuu wa Ufaransa, Sebastien Lecornu, amejiuzulu leo Jumatatu Oktoba 6, 2025, zikiwa ni wiki chache tu tangu aingie madarakani hatua inayoongeza zaidi mzozo wa kisiasa unaoikumba nchi hiyo...
0 Reactions
1 Replies
245 Views
Serikali ya Morocco imesema iko tayari kusikiliza na kushughulikia malalamiko yanayochochea maandamano ya vijana ambayo yameutikisa nchi kwa siku kadhaa. Kauli hiyo imetolewa siku moja baada ya...
2 Reactions
3 Replies
306 Views
Bunge la Chad limepitisha marekebisho ya katiba yatakayomruhusu Rais kuongeza muda wa kukaa madarakani kutoka miaka 5 hadi 7 bila kikomo cha mihula, hatua iliyopigiwa kura na wabunge 171 na sasa...
1 Reactions
9 Replies
604 Views
Mbali na staili yake ya uongozi wa kimabavu lakini kwenye hili hatuna budi kumpa tiki kubwa sana. Kuna nchi nyingi Afrika zinazoongozwa kimabavu na chache zinazojitahidi demokrasia lakini bado...
1 Reactions
10 Replies
714 Views
Kwa nini taifa la Israel na wanamichezo kutoka Israel wanaruhusiwa kushiriki mashindano ya kimataifa wakati Russia imezuiliwa ? Mfano: tukianza na mpira wa miguu, shirikisho la mpira wa miguu...
3 Reactions
27 Replies
890 Views
Watawala wa Houth huko Yemen wametangaza rasmi kuanza mashambulizi ya meli za marekani zinazofanya biashara ya mafuta na wamesema kwamba makubaliano yao na Rais Donald Trump yamesitishwa.. Kwa...
4 Reactions
20 Replies
973 Views
Waziri wa Mambo ya ndani wa Israel Itamar Ben-Gvir awatembelea wafungwa wa flotilla wa Gaza: Msafara amabao walikuwa wanajidai eti wanapeleka misaada Gaza waziri Itamar Ben-Gvir amesema watu hao...
3 Reactions
7 Replies
381 Views
Nimesoma huo mpango wa point 21 wa kuleta amani Palestina naona ni kama mtego kuwaachia mateka na kujisalimisha rasmi katika utawala wa kimabavu wa Israel. Eti Baraza la amani la mpito la...
6 Reactions
52 Replies
1K Views
Raia mmoja wa Tunisia, Saber Chouchane (56), amehukumiwa adhabu ya kifo kwa kosa la kuchapisha kwenye mtandao wa Facebook, maneno yanayodaiwa kumkashifu Rais Kais Saied na kudhalilisha vyombo vya...
1 Reactions
3 Replies
208 Views
Back
Top Bottom