International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Shirika la Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa (WFP) limesitisha safari za ndege kuelekea mji wa Solle, kaskazini magharibi mwa Burkina Faso, baada ya mlipuko kutokea karibu na helikopta...
0 Reactions
5 Replies
422 Views
Mwanasiasa wa chama cha Republican nchini Marekani, Solomon Pena, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi wa jimbo la New Mexico mwaka 2022, amehukumiwa kifungo cha miaka 80 jela kwa kuandaa...
0 Reactions
0 Replies
537 Views
Mahakama ya kijeshi mjini Mogadishu imewahukumu kifo askari wawili wa Somalia waliopatikana na hatia ya kushirikiana na kundi la kigaidi la Al Shabab kupanga mauaji ya kamanda wao wa kikosi...
2 Reactions
7 Replies
635 Views
Hii dunia ina mambo mengi sana. Duniani kuna utapeli na uwongo wa kutisha mno na unafiki hizi picha zinaongea mengi sana
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Takribani wanafunzi 60,000 waliomaliza elimu ya sekondari nchi Burkina Faso wameanza mafunzo ya uzalendo yatakayodumu kwa mwezi mmoja kama sehemu ya kuwajengea uwezo wa kutetea na kupigania taifa...
1 Reactions
3 Replies
383 Views
Mwanamke wa Saudia Noura Salem Al- Shammari ametoa figo yake moja na kumchangia mke wa pili wa mumewe Taghreed Awadh Al-Saadi, ambaye alikuwa akiteseka kwa miaka mingi baada ya figo yake kufeli.
2 Reactions
17 Replies
923 Views
Mnamo Agosti 2025 Serikali ya Marekani ilitangaza ongezeko la zawadi hadi dola milioni 50 kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwa Rais wa Venezuela Hatua hiyo ilichukuliwa...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Wanaukumbi. Rais wa Marekani Donald Trump aliweka maono yake ya kuifanya Washington DC kuwa "kubwa tena" mapema leo, akiahidi kukabiliana na uhalifu na ukosefu wa makazi katika mji mkuu wa taifa...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Mke wa aliyekua rais wa Korea Kusini, Kim Keon Hee, amekamatwa baada ya Agosti 12, 2025 usiku mahakama kutoa hati ya kumtia mbaroni kufuatia tuhuma za ufisadi ambazo yeye amezikanusha, kwa mujibu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wicknell Chivhayo: Mfanyabiashara Anayejenga Afrika Kupitia Ukarimu Mfanyabiashara maarufu kutoka Zimbabwe, Sir Wicknell Chivhayo, ameweka historia kama mmoja wa wafadhili wakubwa zaidi Afrika...
0 Reactions
2 Replies
453 Views
Mwanakulitafuta, Mwanakulipata Ibtissame Lachgar wa nchini Morocco anatuhumiwa kwa kuweka picha akiwa amevalia shati ambalo linauchukiza Uislamu, na kuandika maelezo ambayo pia yalikuwa...
11 Reactions
83 Replies
3K Views
According to Gallup's latest poll, several current and former Trump administration officials have also seen plunging favorability ratings, including secretary of state Marco Rubio, and president...
5 Reactions
56 Replies
2K Views
Idadi ya nchi zinazotangaza kutambua taifa la Palestina inaendelea kuongezeka, ambapo zaidi ya mataifa 145 sasa yanatoa wito wa kutambuliwa kwake kimataifa Nchi nyingi zilizotambua taifa la...
3 Reactions
1 Replies
339 Views
Kuna zaidi ya watumwa Waafrika milioni 2 katika nchi zilizotawaliwa na Waarabu, na mamia ya maelfu zaidi huleta walionunuliwa na kuuzwa na Waarabu na Waislam nchini Nigeria, Sudan, Mauritania...
8 Reactions
84 Replies
3K Views
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Ureno Luis Montenegro imetangaza Alhamisi kuwa itatathmini iwapo itaitambua Palestina kama taifa huru wakati wa hadhara kuu ya Umoja wa Mataifa mwezi Septemba mwaka huu...
3 Reactions
6 Replies
363 Views
Ni nadra sana kushuhudia Piers Morgan akikubali mtazamo wa dunia ulio tofauti kabisa na msimamo wake. Piers Morgan, ambaye yeye mwenyewe ni mashine kali ya hoja na fikra, anajulikana kwa kuingilia...
0 Reactions
2 Replies
335 Views
06 August 2025c Minnesota Man Is Sentenced to 28 Years in Federal Food Aid Fraud https://m.youtube.com/watch?v=5FTjSSg6qBo Abdiaziz Shafii Farah, 36, played a leading role in a scheme that stole...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hebu angalieni hapo Chini kwenye picha ndege teule zilivyojipanga, zilivyoegeshwa kwa ustad wa hali ya juu. Ni ndege teule takatifu kutoka shirika teule takatifu Eli Al la nchi Teule takatifu ya...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Mke wa aliyekua Rais wa Korea Kusini, Kim Keon Hee, alifika mahakamani kusikiliza kesi inayomkabili kilichodumu saa tano, lakini hakimu hajatoa uamuzi kuhusu ombi la waendesha mashtaka la kutaka...
0 Reactions
2 Replies
529 Views
Back
Top Bottom