Waziri wa Mambo ya ndani wa Israel Itamar Ben-Gvir awatembelea wafungwa wa flotilla of Gaza:!!

Waziri wa Mambo ya ndani wa Israel Itamar Ben-Gvir awatembelea wafungwa wa flotilla of Gaza:!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
8,629
Reaction score
7,351
Waziri wa Mambo ya ndani wa Israel Itamar Ben-Gvir awatembelea wafungwa wa flotilla wa Gaza: Msafara amabao walikuwa wanajidai eti wanapeleka misaada Gaza waziri Itamar Ben-Gvir amesema watu hao wanapaswa kufa maana wanashirikiana na magaidi wa awasaidie ili waendeleze UGAIDI wao. “Hao Wote ni magaidi." Wanapaswa kufyekwa ili ujinga kama huu usijirudie tena!!!!!!
 
Waziri wa Mambo ya ndani wa Israel Itamar Ben-Gvir awatembelea wafungwa wa flotilla wa Gaza: Msafara amabao walikuwa wanajidai eti wanapeleka misaada Gaza waziri Itamar Ben-Gvir amesema watu hao wanapaswa kufa maana wanashirikiana na magaidi wa awasaidie ili waendeleze UGAIDI wao. “Hao Wote ni magaidi." Wanapaswa kufyekwa ili ujinga kama huu usijirudie tena!!!!!!

Hao si sawa na magaidi wa Gaza tu, si wangewatungua huko huko? Au?
 
Kuna mjukuu wa Mandela humo,SA wanataka waachiwe haraka
 
Kwanini marekani analazimisha Hamas wakubali proposal ambayo Inamfavor muyahudi? Hili suala marekani kwanini analizungushazungusha? Hamas wanatakiwa wasikubali huo uhuni japo pressure ni kubwa mkubwa jinga yote hapo middle east wanalazimisha
 
Waziri wa Mambo ya ndani wa Israel Itamar Ben-Gvir awatembelea wafungwa wa flotilla wa Gaza: Msafara amabao walikuwa wanajidai eti wanapeleka misaada Gaza waziri Itamar Ben-Gvir amesema watu hao wanapaswa kufa maana wanashirikiana na magaidi wa awasaidie ili waendeleze UGAIDI wao. “Hao Wote ni magaidi." Wanapaswa kufyekwa ili ujinga kama huu usijirudie tena!!!!!!

Wewe muyahudi wa Nkuhungu unaharisha hapa ila wenyewe original hawa hapa wanakwenda kuwasapoti
 

Attachments

  • VID_20251003_164704_679.mp4
    1.9 MB
Kwanini marekani analazimisha Hamas wakubali proposal ambayo Inamfavor muyahudi? Hili suala marekani kwanini analizungushazungusha? Hamas wanatakiwa wasikubali huo uhuni japo pressure ni kubwa mkubwa jinga yote hapo middle east wanalazimisha
Trump mwenyewe akifanya fyoko wanakula kichwa chake, we unafikiri anapenda yanayoendelea kule Gaza? Lakini atafanyaje na kawekwa bastora kichwan!
 
Back
Top Bottom