Watu wawili wameuawa baada ya maafisa wa polisi kufyatua risasi wakijaribu kuwazuia kundi la waandamanaji waliodaiwa kutaka kuvamia kituo cha polisi kusini mwa Morocco, vyombo vya habari vya...
Israel inakadiria kuwa watu 500,000 wameuhama mji wa Gaza wakati IDF ikisonga dhidi ya ngome za Hamas
Wengi walioondoka wanaviambia vyombo vya habari vya Kiarabu kwamba Hamas ilijaribu kuzuia...
Nchi nyingi za Magharibi kwa miaka mingi zimekuwa zikikariwa na jamii ya watu wa Dini ya kikristo, Nazungumzia Amerika Kaskazini, Amerika Kusini na Ulaya. Lakini hivi karibuni kumekuwa na ongezeko...
Takribani watu 30 wamepoteza maisha na zaidi ya 200 kujeruhiwa baada ya skafoldi kuporomoka katika Kanisa la Menjar Shenkora Arerti Mariam, jimbo la Amhara kaskazini mwa Ethiopia. Tukio hilo...
Wakuu,
Nimekutana na clip ya askari wa ICE wa Marekani ambao wanahusika na masuala ya uhamiaji wakiwa wanamfukuzia huyu jamaa kwenye kibaiskeli chake
Huyu jamaa ni mtu wa delivery na ili tukio...
Kwa Mujibu wa Taarifa zilizochapishwa na Mashirika Mbalimbali ya Habari Septemba 29, 2025, Vijana wa Morocco waliongoza maandamano makubwa wakipambana na polisi na kufunga barabara kuu katika kile...
Mfalme kuwa na mamlaka ya kuongoza serikali
Mamlaka ya kuendesha serikali yako mikononi mwa Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri. Mfalme hawezi kuamua sera za nchi wala kutoa maagizo kwa serikali...
Serikali ya Marekani imefungwa kuanzia saa sita usiku wa kuamkia Jumatano (saa 4:00) baada ya wabunge kushindwa kufikia makubaliano ya bajeti.
Hali hii imesababisha baadhi ya huduma za serikali...
UAE imeweka masharti magumu kwa nchi za kiafrika
https://m.youtube.com/watch?v=jFr3iC4irFw
UAE na Abu Dhabi kuanzia January 2026 zuio hilo litaanza kutumika biashara, matembezi, kazi
.
Raia wa...
Takribani watu 69 wamefariki dunia kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililokumba jimbo la kati nchini Ufilipino usiku wa Septemba 30, 2025
Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 6.9 katika kipimo cha...
Mamlaka ya Paris yanafanya uchunguzi juu ya kifo cha balozi wa Afrika Kusini nchini Ufaransa, Nkosinathi Emmanuel Mthethwa, ambaye alipatikana nje ya hoteli ya ghorofa nyingi siku ya Jumanne...
Serikali ya Marekani imefungwa rasmi baada ya Bunge la Congress kushindwa kufikia makubaliano ya ufadhili wa kuendesha shughuli za kila siku, na hali iliyobaki kuwa sintofahamu kuhusu...
Kuna hii Video kutoka BBC Eye inaonyesha jinsi maandamano ya Gen Z Occupy Parliament na jinsi gani waliohusika kufanya mauaji na kuonyesha kulikuwa hakuna sababu ya kufanya mauaji hayo..... Very...
Rais Trump: "Historia imetuonyesha kwamba wale walio na uhusiano na Israeli wamestawi, wakati wale ambao wamejitolea rasilimali zao kuangamiza Israeli wamedhoofika"
Chama cha The Democratic Union of Builders (UDB), kilichozinduliwa miezi michache tu iliyopita na Rais Brice Oligui Nguema, kimeongoza katika awamu ya kwanza ya uchaguzi wa wabunge nchini Gabon...
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) pamoja na Shirika la Usalama wa Ndani (Shin Bet) wamesema kwamba Muhammad Rashid Muhammad Masri, aliyekuwa kamanda wa kikosi cha Nukhba katika Batalioni ya Beit...
Kanali (res.) Hezi Nehama, askari mkuu wa akiba wa IDF, alizuia shambulio ikwenye makutano ya Al Khader kwenye Njia ya 60 baada ya Kipalestina kuwashambulia vijana wawili wa Israel na kujaribu...
Wakuu
Sema linapokuja la kuwa serious na sheria, Serikali ya China kama iko serious sana. Yaani adhabu zinagaiwa kama pipi.
Huku kwetu kuna wale watu wa tuma kwa namba hii wanaendelea kupeta tu...
Mahakama ya kijeshi DRC imemhukumu kifo aliyekuwa Rais Joseph Kabila, ikimtia hatiani kwa usaliti na uhalifu dhidi ya binadamu.
Chama chake PPRD kimesema kesi hiyo ni ya kisiasa dhidi ya mpinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.