Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Mali, Choguel Kokalla Maiga ameshitakiwa kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma, kughushi na kutumia nyaraka za uongo.
Maiga aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu baada ya...
Mwanasiasa mtata wa Afrika Kusini, ambaye siku zote alikua anatetea umoja wa Afrika, abadilisha gia angani na kusema kila mtu kwao. Japo kiukweli huwa siwaelewi mnaokwenda kwenye nchi za watu na...
Anaejua kinachowakwamisha ATCL/Air Tanzania kuwa na routes za ulaya ni nini?
Mchi zote za EAC zinapeka ndege zao Ulaya kasoro ATCL tatizo ni nini?
=============
Shirika la ndege taifa la Rwanda...
Magaidi wa uislamu wameingia kwenye vijiji na kuendesha shughuli za kuchinja tu, yaani maskini wanavijiji ambao hata msosi kwa siku ni shida, wanakutwa na kutiwa mapanga na watu wa dini ya...
Waziri wa zamani wa Biashara wa Marekani Gina Raimondo hivi karibuni amekiri wazi kwamba “kujaribu kuzuia maendeleo ya China ni jambo lisilowezekana”. Matamshi hayo ni tofauti kabisa na msimamo...
Waziri mkuu wa Serikali ya magaidi ya Israel amekimbia Taifa lake baada ya Iran kutangaza vita rasmi na kupandisha bendera nyekundu. Gaidi huyo amekimbia huku akindikizwa na fighter mbili za...
Leo nimekaa na kutafakari ingekuaje kama NATO na EU wasingekuq nyuma ya Ukraine katika vita vyake na Russia.
Ingekua sasa Putin ameshajenga ikulu pale Kyiv na sasa anakunywa mvinyo wake pendwa...
Taarifa za karibuni kabisa zinaeleza kuwa makundi ya wapiganaji huko Gaza wakiongozwa na Hamas wamesema wamekubaliana na mpango wa kumaliza vita vya miaka miwili kati yao na Israel.
Hatua hiyo...
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amewaambia waandamanaji wanaoandamana kuishinikiza za Serikali yake kukubali kuidhinisha mkataba mbovu wa kusimamisha mapigano huko Gaza na magaidi wa...
Moja ya tukio lililogonga vichwa vya habari katika mkutano wa Rais Donald Trump wa Marekani na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine jijini Washington DC jana Jumatatu ni barua za wake wa marais...
Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel Itamar Ben Gvir atoa wito wa kuangamizwa kwa Rais wa Syria, Ahmad al-Sharaa, akimwita mpiganaji wa jihadi:
"Yeyote anayeua, kukata masharubu, kudhalilisha...
https://www.youtube.com/live/rd4iTiIAyWE?si=Ln7ESumnzg-nX6oS
Je, Israel iko tayari kuishambulia Iran tena kabla ya mwaka kuisha? Majenerali wakuu wa Iran wamekiri wazi kuwa wanajiandaa kwa vita...
Shirika la Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) limepongeza kuidhinishwa kwa dawa ya kwanza ya malaria iliyoundwa mahsusi kwa ajili ya watoto wachanga na wenye uzito chini ya kilo tano. Dawa...
Waziri wa Mambo ya Nje Gideon Sa’ar ataondoka leo (Jumanne) kwa ziara ya kidiplomasia barani Afrika, ambapo atazindua Ubalozi wa Israel nchini Zambia. Akiwa nchini Zambia, Waziri Sa’ar atakutana...
Kiongozi wa Magaidi wa Hezbollah Sheikh Naim Qassem aliitishia serikali ya Lebanon kwamba kundi hilo litahifadhi silaha zake na kutishia kama serikali inataka kuwanyang’anya silaha zao basi...
Kituo cha mafuta huko Tehran Iran jioni hii kimepigwa na kitu kiito kisichojulikana na sasa hivi kinateketea kwa moto!!!
Baada ya kipigo cha siku 12 kutoka majeshi ya Israel Iran sasa inasumbuliw...
Joint Webinar with the Tanzania Embassy in Sweden
Diaspora Banking Offerings by NMB Bank Plc
Date & Time:
Saturday, 23rd August 2025
From 16:00hrs - 18:00hrs (Sweden Time)
Join the meeting...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.