Deni la taifa la Marekani au kama wao wanavyoliita Federal Debt, Government Debt, National Debt, U.S Public Debt linapaa kwa kasi sana limefikia $35 trillion ambalo ni sawa na $104,082 kwa kila...
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amekosoa vikali Marekani baada ya kufutiwa viza kwa sababu ya msimamo wake dhidi ya vita vya Gaza.
Gustavo alionekana mjini Newyork akiungana na waandamaji...
Benjamin Netanyahu - 21 October 1949
HAPPY BIRTHDAY MASHINE YA KAZI
Panapo majalliwa utawashinikiza waliomuua mtanzania mwenzetu kikatili warejeshe mwili wake uje uzikwe Tanzania
Madagascar imemfuta uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo kabla ya kupinduliwa na jeshi. Waziri mkuu, Herintsalama Rajaonarivelo ndiye ametia sahini maamuzi haya ya kihistoria.
Habari hii ni kwa...
Kwenye hizi space program, kuna mashirika yanayomilikiwa na serikali na binafsi.
Mfano serikali ya Marekani ina shirika la NASA na serikali ya China ina shirika la CNSA. Lakini kuna kampuni...
Mahakama nchini Mali imemhukumu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Moussa Mara, kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kuchapisha ujumbe wa mtandaoni uliodaiwa kukosoa mamlaka ya serikali na kuunga...
Marekani imeshuka hadi karibu na nafasi za mwisho katika Orodha ya Amani ya Dunia ya mwaka 2025 (Global Peace Index), ikishika nafasi ya 128 kati ya mataifa 163, kwa mujibu wa ripoti mpya kutoka...
Nipo mitaa ya jijini Nairobi nikibarizi habari za hapa na pale na leo nimepata kusikia tetesi za Raisi Ruto kufikiria kumteua bwana Gideon Moi kuwa makamu wa waziri mkuu wa Kenya. Bwana Gideon ni...
Ivory Coast ilifanya uchaguzi wa urais Oktoba 25,2025, uchaguzi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu lakini pia kwa hofu kutokana na misukosuko ya kisiasa iliyoikumba nchi hiyo wiki kadhaa kabla ya...
Miezi miwili kabla ya 'mapinduzi', plans zilitangazwa za kujenga chuo kikubwa sana kilichopewa jina la Robert Mugabe University.
Siku chache tu kabla ya 'mapinduzi' kuna main road/highway muhimu...
Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, amefanya mabadiliko makubwa katika uongozi wa jeshi huku nchi hiyo ya Afrika Magharibi ikiendelea kukabiliana na ongezeko la vurugu kaskazini na changamoto nyingi za...
Rais wa Cameroon, Paul Biya mwenye umri wa miaka 92, ambaye ni mkuu wa nchi mzee zaidi duniani, ameshinda tena uchaguzi wa urais kwa muhula wa nane, kwa mujibu wa matokeo rasmi yaliyotangazwa leo...
Mamlaka ya Usimamizi wa Mtandao wa China (Cyberspace Administration of China) imeweka masharti kwa washawishi mtandaoni pamoja na mitandao mikubwa ya kijamii nchini humo.
Huu mpango umependekezwa...
Uholanzi walikuwa na kampuni ya inayoitwa Nexperia ya kutengeneza semiconductors ambayo ilikuwa inaelekea kufirisika.
Wakaja wawekezaji wa Kichina kampuni ya Wingtech Technology Co wakainunua...
Takriban watu wanne wameripotiwa kuuawa kwa kupigwa risasi katika maandamano ya upinzani yaliyofanyika Jumapili Oktoba 26, 2025 mjini Douala, Cameroon, ambapo Waandamanaji walikuwa wakilalamikia...
Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah
Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, amemfuta kazi Natangwe Ithete kutoka nyadhifa zake za Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Viwanda, Madini na Nishati...
Maelfu ya waandamanaji walimiminika mitaani jijini Douala, mji mkuu wa kiuchumi wa Cameroon, siku ya Jumapili Oktoba 26, 2025 wakijibu wito wa kitaifa uliotolewa na kiongozi wa upinzani, Issa...
Jana siku ya jumatano ya tarehe 30 rabiy-l - Akhiyr 1447 (H) sawa na 22 September 2025 (AD) ufalme wa Saudi Arabia umemteua na kumtangaza Sheikh Dr Swaaleh bin Fauzaan bin Abdillaah Al fauzaan...
Kutoa tamko kwa kukurupuka na bila kufanya uchunguzi au kusikiliza upande unaotuhumiwa ni uhuni kama uhuni mwingine.
Hata D.Trump anaziona hizi jumuia za kimataifa kama magenge ya wahuni tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.