Wanaukumbi.
Flotilla iliyobeba misaada ya kibinadamu na wanaharakati, ikiwa ni pamoja na mwanaharakati wa hali ya hewa wa Uswidi Greta Thunberg, wanatarajiwa kuondoka kutoka Barcelona Jumapili...
Kuna wakuda wanaenda Mossad/IDF wanakabidhi picha na list kuwa hawa wafuatao waleiezwe Qibla. Huyu mkuda inasemekana sasa hivi kaenda kabidhi tena list na picha za wahusika.na sijui Mossad sijui...
Rais Kim Jung Un amewatunuku askari waliorudi salama na kutoa pole kwa familia za waliofia kwenye vita jimbo la Kursk
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, amewapongeza na kuwatunuku askari wa...
Ofisi ya Waziri Mkuu ilisema vita vinaweza kumalizika mara moja ikiwa masharti matano yatatimizwa -. kuachiliwa kwa mateka wote; kupokonywa silaha kwa Hamas; kuondolewa kijeshi...
September 3, 2025 Mahakama ya Peru imemuhukumu Rais wa zamani Alejandro Toledo kifungo cha miaka 13 jela kwa kosa la kupokea rushwa. Toledo mwenye umri wa miaka 79, aliyewahi kuongoza nchi hiyo...
Benjamin Netanyahu anazidi kuchanganyikiwa na kuwa kama mwendawazimu huku akiwatukana viongozi wenzake wa nchi za nje kwamba ni madhaifu sana.
Matusi hayo amekuwa akiyatoa bila kuzuizi jambo...
Sekta ya kwanza ya anga duniani kubadilisha Boeing 777 kutoka ndege ya abiria hadi ndege ya mizigo✈️
Israel Aerospace Industries (IAI) imerekodi mafanikio mengine ambayo hayajawahi kushuhudiwa...
Wafungwa wa gereza moja nchini Malawi wamewagomea maafisa wa tume ya uchaguzi baada ya kutoridhishwa sababu za wao kushiriki uchaguzi mkuu mwaka huu.
Tukio hili limetokea wakati viongozi wa tume...
Katika bara la Afrika, pikipiki zimekuwa njia ya kujipatia riziki kwa zaidi ya watu milioni 5, jambo ambalo limetokana na ustawi wa biashara ya mtandaoni katika miaka ya hivi karibuni.
Kufuatia...
Katika vitu Wamarekani wataendelea kuvijutia ni kuungana na USSR chini ya Stalin kumpiga vita Hitler, lile huenda lilkuwa kosa kubwa la kimkakati la muda mrefu. Hata kama Hitler alikuwa anawaua...
Baitul haram iliyopo Makka ndiyo nyumba ya mwanzo duniani kujengwa kwa ajili ya kumuabudu Mungu (Allah).
Nyumba hii iiinuliwa kuta zake kwa mara nyengine na nabii Ibrahim na mwanawe...
Kuna tunzo hutolewa kwa wahusika hata kama hawapo.Vile vile zipo na adhabu ambazo hukumu hutolewa kama mhusika yuko mbali.
Kwa upande wa Netanyahu inaonesha amekubali kazi ya kuwafuta Hamas...
Vyombo vya habari vya Guinea vinaweza kutoa nafasi kwa vyama vilivyopigwa marufuku kabla ya kura ya maoni ya Septemba, Rais wa udhibiti wa vyombo vya habari nchini humo alisema, akibatilisha...
Ghana's President John Mahama has fired the country's Chief Justice Gertrude Torkornoo following a recommendation by an inquiry.
She had been on suspension since April after complaints were...
Kuna taarifa za kuaminika mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran imesikika kwenye mitaa ya Tehran, Tunasikia wanaume wameshaingia huko ku Test Mitambo “ Yajayo yanafurahisha”
Serikali ya DRC imetangaza kusitisha elimu bila malipo katika maeneo yanayodhibitiwa na AFC/M23.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Jacquemain Shabani, alithibitisha hilo na kusema: "Kwa bahati mbaya...
Wakuu,
Maporomoko mabaya ya ardhi katika eneo la Darfur nchini Sudan yamefuta kijiji kizima, yakiua zaidi ya watu 1,000 na kumuacha mtu mmoja pekee hai, kwa mujibu wa Harakati ya Ukombozi wa...
Haya maneno ya Trump wala si mapya kuonesha jinsi Marekani inavyoshirikiana na Israel kuwaangamiza wapalestina bila kificho.
Kilicho kipya na cha kushangaza ni jinsi mataifa ya kiarabu na kiislamu...
Mtandao wa Mshikamano wa Kimataifa ulihitimisha shughuli za mfano wa uigaji wa Umoja wa Afrika kwa wanafunzi wa Shule za Ubora wa Sayansi na Teknolojia (Steam) chini ya kauli mbiu "Haki kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.