Wakazi wa Douala wameendelea kuandamana kwa siku ya pili mfululizo baada ya kutangazwa kwa Rais Paul Biya kuwa mshindi wa urais kwa mara ya nane, hatua iliyozua hasira kubwa miongoni mwa wananchi...
ukio lisilotarajiwa limezua gumzo nchini Mexico baada ya video kusambaa ikimuonyesha mwanamume mmoja akijaribu kumbusu Rais wa Mexico, Claudia Sheinbaum, alipokuwa akitembea katikati ya umati...
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limefanya mashambulizi kadhaa katika maeneo ya kusini mwa Lebanon siku ya Alhamisi, likisema kuwa yalilenga kundi la Hezbollah kwa madai ya jaribio la kundi hilo...
Maafisa wa IDF waliijulisha familia ya Joshua Loitu Mollel kwamba mwili wake umerejeshwa kwa ajili ya mazishi baada ya kutambuliwa rasmi na timu za utafiti wa kidaktari, Polisi ya Israel, na...
Joshua Mollel, mwanafunzi wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 21, alikuja Israel kusomea kilimo, sio kuchinjwa na magaidi wa Hamas. Walimuua tarehe 7 Oktoba, waka unajisi mwili wake, na kuteka...
Wapiganaji wa RSF nchini Sudan wanaendeleza mauaji ya halaiki katika mji wa Al Fasher, baada ya kudai kudhibiti ngome ya mwisho ya jeshi la Sudan katika eneo hilo la magharibi mwa nchi Oktoba 26
SF
Maonyesho ya 8 ya Kimataifa ya Uagizaji Bidhaa ya China (CIIE) yanafanyika mjini Shanghai. Ikiwa ni maonyesho ya kwanza ya kitaifa duniani yenye mada ya uagizaji, CIIE yanasaidia bidhaa za kilimo...
Kwa maandamano ya 13 ya Aban ya kuashiria kutwaa Ubalozi wa Marekani, Iran ilionyesha centrifuges kuashiria "nguvu yake ya nyuklia."
Chaguo linaweka wazi nia ya nyuklia ya serikali hivyo Iran...
Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara, ameshinda kwa kishindo muhula wake wa nne kufuatia matokeo ya awali yaliyotangazwa Jumatatu — ushindi uliokuwa umetarajiwa baada ya wapinzani wake wakuu...
Huu ni mwaka wa 25 tangu kuanzishwa kwa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC). Tangu kuanzishwa kwa jukwaa hilo, ushirikiano kati ya China na Afrika umepata mafanikio makubwa, na...
Deni la taifa la Marekani au kama wao wanavyoliita Federal Debt, Government Debt, National Debt, U.S Public Debt linapaa kwa kasi sana limefikia $35 trillion ambalo ni sawa na $104,082 kwa kila...
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amekosoa vikali Marekani baada ya kufutiwa viza kwa sababu ya msimamo wake dhidi ya vita vya Gaza.
Gustavo alionekana mjini Newyork akiungana na waandamaji...
Benjamin Netanyahu - 21 October 1949
HAPPY BIRTHDAY MASHINE YA KAZI
Panapo majalliwa utawashinikiza waliomuua mtanzania mwenzetu kikatili warejeshe mwili wake uje uzikwe Tanzania
Madagascar imemfuta uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo kabla ya kupinduliwa na jeshi. Waziri mkuu, Herintsalama Rajaonarivelo ndiye ametia sahini maamuzi haya ya kihistoria.
Habari hii ni kwa...
Kwenye hizi space program, kuna mashirika yanayomilikiwa na serikali na binafsi.
Mfano serikali ya Marekani ina shirika la NASA na serikali ya China ina shirika la CNSA. Lakini kuna kampuni...
Mahakama nchini Mali imemhukumu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Moussa Mara, kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kuchapisha ujumbe wa mtandaoni uliodaiwa kukosoa mamlaka ya serikali na kuunga...
Marekani imeshuka hadi karibu na nafasi za mwisho katika Orodha ya Amani ya Dunia ya mwaka 2025 (Global Peace Index), ikishika nafasi ya 128 kati ya mataifa 163, kwa mujibu wa ripoti mpya kutoka...
Nipo mitaa ya jijini Nairobi nikibarizi habari za hapa na pale na leo nimepata kusikia tetesi za Raisi Ruto kufikiria kumteua bwana Gideon Moi kuwa makamu wa waziri mkuu wa Kenya. Bwana Gideon ni...
Ivory Coast ilifanya uchaguzi wa urais Oktoba 25,2025, uchaguzi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu lakini pia kwa hofu kutokana na misukosuko ya kisiasa iliyoikumba nchi hiyo wiki kadhaa kabla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.