Ni Vladimir Putin ama huenda ni Putin na XI kwa mikakati Yao ya pamoja wameweza kumuingiza Kim Jon UN katika mfumo wa Dunia.
Nikisema Kim Jon UN namaanisha Korea kasakazini kama nchi tayari...
Hawa Wachina waatia aibu sana.
Badala ya kumualika USA na Kumpa pongezi nyie mnafanya gwaride na kualika loosers wenzenu eti mnasherehekea kuishinda Japan wakati ukweli ni kwamba USA ndio...
Wanajamvi please mchambueni huyu mwana mama .
1.Role yake ya mwanamke katkika jamii unamuonaje positive or nagative.
2.Uaminifu wake unaonaje ungependa upate mwanamke kama yeye ?
3.Hivi ni kweli...
Ndege ya Air India AI171, aina ya Boeing 787-8 Dreamliner, iliyokuwa safarini kutoka Ahmedabad, India kuelekea London Gatwick, Uingereza, imepata ajali mbaya ikiwa na watu 242 imeanguka muda...
Mnyama mmoja katili ambaye alijivunia kuwaua raia 10 wa Kiyahudi mnamo Oct 07,2023 naye ameangamizwa.
Wananchi wa Gaza wanaripoti kwamba katika shambulio la IDF Alhamisi dhidi ya "kundi la watu"...
Kuelekea mwaka wa pili wa wao kupigana na Israel sasa Hamas wametoa wito kwa jumuiya za kimataifa kuingilia kati kuwaokoa kutokana na maangamizi yanayofanywa na Israel iliyoungana na Marekani...
Majengo marefu huko Gaza leo hii yameangamizwa baada ya uchunguzi kuonyesha yana kamera Zinaowasaidia magaid wa hamas kuyashambulia majeshi ya Israel.
Baada ya janja ya magaidi wa hamas...
Wapalestina kadhaa waliohojiwa na gazeti la Jerusalem post,wamesema wamechoka na mateso na wamekata tamaa na hawana imani na yeyote.
Baadhi yao walipohojiwa wamesema wameshahama mara nyingi kote...
Israel says it has successfully launched a new spy satellite into space, a move that will significantly enhance its surveillance capabilities in the Middle East. According to Israeli officials...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, amefariki dunia leo April 21,2025 kwenye Jumatatu ya Pasaka akiwa na umri wa miaka 88 ambapo Vatican imethibitisha na kusema Papa amefariki...
Urusi ilijitanua pole pole kuelekea mashariki kufuata biashara ya manyoya ya wanyama. Ikafika hadi bahari ya pacific, ikavuka hadi kufika Alaska. Katika kujitanua huko ikafika bonde la mto Amur...
Gavana wa Benki Kuu ya Marekani, Lisa Cook, ameanzisha mvutano na Rais Donald Trump kwa kukataa kuondoka kwenye wadhifa wake baada ya rais huyo kutangaza kumfukuza kazi.
Mvutano huo umetokea...
Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló, ameingia katika mgogoro wa kisiasa baada ya muhula wake kumalizika rasmi usiku wa Septemba 4, 2025 bila ya kukabidhi madaraka. Badala yake, Embaló...
My Take
Ni rai yangu kuwataja na Kutambua idadi ya watu waliofariki wakati wa Ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere na Sgr Ili kuwatambua kama mashujaa badala ya kuhangaika na Wanasiasa tuu.
Nchi...
Adui namba moja wa uchumi wa Marekana ni Ulaya iliyoungana na sarafu ya euro. Marekani inakasirishwa na upanuzi wa umoja wa ulaya kuelekea Mashariki. Upanuzi huu wa ulaya unaibana Marekani kwa...
Wanakumbi.
Kundi la Hamas limewaua wanajeshi kadhaa wa Israel huko Gaza na kuripotiwa kuwakamata wengine 4.
Hata hivyo Israel imedai kuwa ni mwanajeshi mmoja tu aliyeuawa na wengine 11 wako...
Hawa Wairani kuwaelewa ni ngumu, baadhi ya viongozi waliodaiwa Kuuliwa na Israel wameonekana kwenye sherehe za kusherehekea ushindi huko Tehran.
Miongoni mwao ni mkuu wa jeshi la mapinduzi ya...
IDF ilifanya mashambulizi makubwa dhidi ya Houthis nchini Yemen.
Walilenga idadi kubwa ya viongozi wa Houthi ambao walikuwa wamekusanyika pamoja kutazama hotuba ya mkuu wa Houthi Al-Malak...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.