International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wakazi wa Douala wameendelea kuandamana kwa siku ya pili mfululizo baada ya kutangazwa kwa Rais Paul Biya kuwa mshindi wa urais kwa mara ya nane, hatua iliyozua hasira kubwa miongoni mwa wananchi...
0 Reactions
1 Replies
263 Views
ukio lisilotarajiwa limezua gumzo nchini Mexico baada ya video kusambaa ikimuonyesha mwanamume mmoja akijaribu kumbusu Rais wa Mexico, Claudia Sheinbaum, alipokuwa akitembea katikati ya umati...
3 Reactions
10 Replies
824 Views
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limefanya mashambulizi kadhaa katika maeneo ya kusini mwa Lebanon siku ya Alhamisi, likisema kuwa yalilenga kundi la Hezbollah kwa madai ya jaribio la kundi hilo...
0 Reactions
1 Replies
291 Views
Maafisa wa IDF waliijulisha familia ya Joshua Loitu Mollel kwamba mwili wake umerejeshwa kwa ajili ya mazishi baada ya kutambuliwa rasmi na timu za utafiti wa kidaktari, Polisi ya Israel, na...
0 Reactions
17 Replies
879 Views
Joshua Mollel, mwanafunzi wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 21, alikuja Israel kusomea kilimo, sio kuchinjwa na magaidi wa Hamas. Walimuua tarehe 7 Oktoba, waka unajisi mwili wake, na kuteka...
11 Reactions
86 Replies
3K Views
Wapiganaji wa RSF nchini Sudan wanaendeleza mauaji ya halaiki katika mji wa Al Fasher, baada ya kudai kudhibiti ngome ya mwisho ya jeshi la Sudan katika eneo hilo la magharibi mwa nchi Oktoba 26 SF
3 Reactions
18 Replies
865 Views
Maonyesho ya 8 ya Kimataifa ya Uagizaji Bidhaa ya China (CIIE) yanafanyika mjini Shanghai. Ikiwa ni maonyesho ya kwanza ya kitaifa duniani yenye mada ya uagizaji, CIIE yanasaidia bidhaa za kilimo...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Kwa maandamano ya 13 ya Aban ya kuashiria kutwaa Ubalozi wa Marekani, Iran ilionyesha centrifuges kuashiria "nguvu yake ya nyuklia." Chaguo linaweka wazi nia ya nyuklia ya serikali hivyo Iran...
3 Reactions
2 Replies
351 Views
Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara, ameshinda kwa kishindo muhula wake wa nne kufuatia matokeo ya awali yaliyotangazwa Jumatatu — ushindi uliokuwa umetarajiwa baada ya wapinzani wake wakuu...
1 Reactions
8 Replies
453 Views
Huu ni mwaka wa 25 tangu kuanzishwa kwa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC). Tangu kuanzishwa kwa jukwaa hilo, ushirikiano kati ya China na Afrika umepata mafanikio makubwa, na...
0 Reactions
0 Replies
183 Views
Deni la taifa la Marekani au kama wao wanavyoliita Federal Debt, Government Debt, National Debt, U.S Public Debt linapaa kwa kasi sana limefikia $35 trillion ambalo ni sawa na $104,082 kwa kila...
13 Reactions
130 Replies
5K Views
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amekosoa vikali Marekani baada ya kufutiwa viza kwa sababu ya msimamo wake dhidi ya vita vya Gaza. Gustavo alionekana mjini Newyork akiungana na waandamaji...
13 Reactions
108 Replies
4K Views
Benjamin Netanyahu - 21 October 1949 HAPPY BIRTHDAY MASHINE YA KAZI Panapo majalliwa utawashinikiza waliomuua mtanzania mwenzetu kikatili warejeshe mwili wake uje uzikwe Tanzania
3 Reactions
10 Replies
442 Views
  • Featured
Madagascar imemfuta uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo kabla ya kupinduliwa na jeshi. Waziri mkuu, Herintsalama Rajaonarivelo ndiye ametia sahini maamuzi haya ya kihistoria. Habari hii ni kwa...
8 Reactions
41 Replies
2K Views
Kwenye hizi space program, kuna mashirika yanayomilikiwa na serikali na binafsi. Mfano serikali ya Marekani ina shirika la NASA na serikali ya China ina shirika la CNSA. Lakini kuna kampuni...
4 Reactions
9 Replies
666 Views
Mahakama nchini Mali imemhukumu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Moussa Mara, kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kuchapisha ujumbe wa mtandaoni uliodaiwa kukosoa mamlaka ya serikali na kuunga...
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Kuna habari za uhakika Israel imepeleka Mifumo ya ulinzi wa anga na kuisimika huko na haijajulikana vizuri nini maana yake!!
2 Reactions
10 Replies
661 Views
Marekani imeshuka hadi karibu na nafasi za mwisho katika Orodha ya Amani ya Dunia ya mwaka 2025 (Global Peace Index), ikishika nafasi ya 128 kati ya mataifa 163, kwa mujibu wa ripoti mpya kutoka...
0 Reactions
7 Replies
739 Views
Nipo mitaa ya jijini Nairobi nikibarizi habari za hapa na pale na leo nimepata kusikia tetesi za Raisi Ruto kufikiria kumteua bwana Gideon Moi kuwa makamu wa waziri mkuu wa Kenya. Bwana Gideon ni...
0 Reactions
1 Replies
299 Views
Ivory Coast ilifanya uchaguzi wa urais Oktoba 25,2025, uchaguzi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu lakini pia kwa hofu kutokana na misukosuko ya kisiasa iliyoikumba nchi hiyo wiki kadhaa kabla ya...
0 Reactions
3 Replies
308 Views
Back
Top Bottom