International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Aliyemsifia Netanyahu na Trump kuruhusu misaada ya chakula avunjwa mikono na miguu. Magaidi kwa sasa wanauana wao kwa wao na dunia wako kimya kabisa!!
3 Reactions
5 Replies
315 Views
Balozi John Bolton aliyekuwa mshauri wa masuala ya ulinzi wa Trump kabla ya kutofautiana pakubwa na kugeuka kuwa mkosoaji mkubwa wa Trump na utawala wake ameshitakiwa kwa makosa mazitio...
1 Reactions
3 Replies
230 Views
Kuna msemo wa wahenga mficha magonjwa kifo humuumbua. Msemo huo umedhibitiks leo. Mkuu wa Majeshi wa Houthis, Meja Jenerali Mohammed Abdul Karim Al-Ghamari, aliuawa katika shambulio la anga la...
2 Reactions
7 Replies
368 Views
Magaidi kadhaa waliokuwa na silaha waliviona vikosi vya IDF vinavyokaribia kufanya kazi katika eneo la Beit Lahia nyuma ya mstari wa njano, na kusababisha tishio la mara moja kwa askari. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
184 Views
Cameroon Yaani kwa mujibu wa wananchi waliofuatiilia wizi wa kura, waliojiandikisha kupiga kura serikali wameweka wapiga kura hewa na picha moja inayoonekana ya mpiga kura ni ya Mo Salah 😀...
5 Reactions
13 Replies
509 Views
Kiongozi wa mpito wa Mali, Jenerali Assimi Goïta, amewafukuza kazi maafisa waandamizi wa jeshi takriban kumi na wawili kwa tuhuma za kuhusika katika jaribio la mapinduzi lililoshindikana mwezi...
1 Reactions
5 Replies
287 Views
Wakuu ni siku ya tatu leo Madagascar hali si shwari kabisa,kumbuka jana Waziri wa nishati alishaliwa kichwa kunusuru malalamiko ya Wandaamanaji lakini bado haijasaidia kitu. Soma pia >> Gen Z...
5 Reactions
7 Replies
407 Views
Baada ya kuwa qatar na turkey wanamchekea chekea hamas kwa unafiki wao wa kuwatakia mema wana gaza kumbe wanafurahia ya hamas kufanya taharuki, wenyewe uae na saudi arabia wamekataa ujinga huo...
2 Reactions
3 Replies
228 Views
Afisa wa Uhusiano wa Umma wa Polisi, CSP Benjamin Hudeyin, amekanusha ripoti zinazodai kuwa Polisi walijaribu kutumia Mahakama kuzuia maandamano ya #FreeNnamdiKanuNow, akisema hawakuwahi...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Serikali ya Rwanda inayoongozwa na Rais Paul Kagame imetoa orodha ya majina 25 ya watu wanaotajwa kuwa wapinzani na magaidi wa taifa Katika orodha hiyo watu wengi waliotajwa ni waliokuwa...
2 Reactions
6 Replies
608 Views
Rais wa Lebanon Joseph Aoun anachapisha kwenye ukurasa wake rasmi maudhui ya hotuba ya Mbunge wa Lebanon Alain Aoun (mpwa wa Rais wa zamani Michel Aoun): Wakati umefika wa kumaliza mzozo na...
1 Reactions
4 Replies
243 Views
Idara mbalimbali za polisi Marekani zimepongeza na kuridhika na jinsi ,aandamano makubwa yaliyopewa jina la Hakuna Mfalme Marekani mahususi kupinga ukiukwaji wa katiba unaofanywa na rais nchi hiyo...
2 Reactions
5 Replies
308 Views
  • Featured
‎ Kikosi maalum cha Kijeshi nchini Madagascar cha 'CAPSAT' kimetangaza kuchukua madaraka, kikimwondoa madarakani Rais Andry Rajoelina, baada ya Wabunge katika Bunge la kitaifa kupiga kura ya...
3 Reactions
7 Replies
903 Views
Baraza la Mawaziri lapiga kura kubadili jina la vita vya Gaza kutoka ‘Upanga wa Chuma’ hadi ‘Vita vya Uamsho -Serikali imeidhinisha kwa wingi pendekezo la Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu la kuviita...
0 Reactions
1 Replies
173 Views
Ugaidi wa Jihadi nchini Marekani Huko New York, magaidi waliandaa mkesha wa kuwaombolezea viongozi wao ambao waliangamizwa wakati wa vita na Israeli na katika operesheni mbalimbali zilizopita...
1 Reactions
5 Replies
260 Views
  • Featured
Kanali wa jeshi Michael Randrianirina ameapishwa kuwa Rais mpya wa Madagascar leo Oktoba 17, 2025 kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea kwa kasi na kumng’oa madarakani Rais Andry Rajoelina...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Vifaru vya IDF vinawafyatulia risasi Wanajihadi wa Nazi huko Gaza ambao wanajaribu kutembea kuelekea kaskazini mwa Gaza. Hawaruhusiwi kwenda kaskazini zaidi kutoka hapo walipo.
2 Reactions
3 Replies
281 Views
Nchini China, siku ya Ijumaa, maafisa tisa, wakiwemo maafisa wawili wa juu wa jeshi, wamefukuzwa kazi. Kwa mujibu wa Reuters, waliotimuliwa ni pamoja na Jenerali He Weidong na Admirali Miao wa...
2 Reactions
3 Replies
355 Views
  • Featured
Usiku wa Oktoba 15, 2025 ghasia kubwa ilizuka nchini Cameroon kufuatia maandamano ya wananchi wakichoma baadhi ya majengo ya Serikali na Jengo la chama cha Cameroon People's Democratic...
11 Reactions
33 Replies
2K Views
Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kikundi cha Hamas kwamba kama wataendelea kwenda kinyume na mkubaliano basi ataruhusu IDF irudi tena kufanya mashambulizi
1 Reactions
8 Replies
425 Views
Back
Top Bottom