International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wakuu Hivi mmepita huko X hivi karibuni Duru zinasema kuwa Donald Trump amefariki japo hakuna confirmation kutoka kwenye sources ambazo ni rasmi. Kwanza hajaonekana kwa siku takriban mbili na...
7 Reactions
103 Replies
9K Views
Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu: Kwa bahati mbaya, hii inazungushwa zaidi na magaidi wa Hamas ambayo hawana jipya. Vita vinaweza kumalizika mara moja kwa masharti yaliyowekwa na Baraza la...
2 Reactions
14 Replies
644 Views
Masikini Magaidi wa Hezbollah waliokuwa wanasifiwa na kurambwa Miguu na akina KIBWENGO Ritz Adiosamigo mdogoye gTurn Sasa hivi wanapigwa na hawadhubuti hata tu kurusha jiwe huko Israel!!! Ama...
4 Reactions
14 Replies
795 Views
Kulingana na shirika la kijasusi la Korea Kusini, Ju Ae ndiye anayetarajiwa kuwa mrithi wa babake. Ju Ae, anaaminika kuwa mtoto wa pili wa Kim Jong Un na mke wake, Ri Sol-Ju, wakiwa na watoto...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Hivi majuzi tulishuhudia Israel ikirusha Setalaiti yake yenyewe ya kijasusi angani, Hayo ni maendelea makubwa sana katika nyanja za kijeshi na ki intelijensia mafanikio makubwa kama haya...
2 Reactions
10 Replies
617 Views
Wanaukumbi. Flotilla iliyobeba misaada ya kibinadamu na wanaharakati, ikiwa ni pamoja na mwanaharakati wa hali ya hewa wa Uswidi Greta Thunberg, wanatarajiwa kuondoka kutoka Barcelona Jumapili...
3 Reactions
19 Replies
918 Views
Kuna wakuda wanaenda Mossad/IDF wanakabidhi picha na list kuwa hawa wafuatao waleiezwe Qibla. Huyu mkuda inasemekana sasa hivi kaenda kabidhi tena list na picha za wahusika.na sijui Mossad sijui...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Rais Kim Jung Un amewatunuku askari waliorudi salama na kutoa pole kwa familia za waliofia kwenye vita jimbo la Kursk Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, amewapongeza na kuwatunuku askari wa...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Ofisi ya Waziri Mkuu ilisema vita vinaweza kumalizika mara moja ikiwa masharti matano yatatimizwa -. kuachiliwa kwa mateka wote; kupokonywa silaha kwa Hamas; kuondolewa kijeshi...
0 Reactions
1 Replies
655 Views
September 3, 2025 Mahakama ya Peru imemuhukumu Rais wa zamani Alejandro Toledo kifungo cha miaka 13 jela kwa kosa la kupokea rushwa. Toledo mwenye umri wa miaka 79, aliyewahi kuongoza nchi hiyo...
1 Reactions
2 Replies
842 Views
Benjamin Netanyahu anazidi kuchanganyikiwa na kuwa kama mwendawazimu huku akiwatukana viongozi wenzake wa nchi za nje kwamba ni madhaifu sana. Matusi hayo amekuwa akiyatoa bila kuzuizi jambo...
0 Reactions
0 Replies
220 Views
Sekta ya kwanza ya anga duniani kubadilisha Boeing 777 kutoka ndege ya abiria hadi ndege ya mizigo✈️ Israel Aerospace Industries (IAI) imerekodi mafanikio mengine ambayo hayajawahi kushuhudiwa...
2 Reactions
6 Replies
622 Views
Wafungwa wa gereza moja nchini Malawi wamewagomea maafisa wa tume ya uchaguzi baada ya kutoridhishwa sababu za wao kushiriki uchaguzi mkuu mwaka huu. Tukio hili limetokea wakati viongozi wa tume...
3 Reactions
3 Replies
390 Views
Katika bara la Afrika, pikipiki zimekuwa njia ya kujipatia riziki kwa zaidi ya watu milioni 5, jambo ambalo limetokana na ustawi wa biashara ya mtandaoni katika miaka ya hivi karibuni. Kufuatia...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Gwaride la kijeshi la Beijing laanza na mizinga kurushwa kuadhimisha miaka 80 ya ushindi wa China dhidi ya Japan katika Vita vya Pili vya Dunia.
3 Reactions
5 Replies
631 Views
Katika vitu Wamarekani wataendelea kuvijutia ni kuungana na USSR chini ya Stalin kumpiga vita Hitler, lile huenda lilkuwa kosa kubwa la kimkakati la muda mrefu. Hata kama Hitler alikuwa anawaua...
3 Reactions
78 Replies
3K Views
Baitul haram iliyopo Makka ndiyo nyumba ya mwanzo duniani kujengwa kwa ajili ya kumuabudu Mungu (Allah). Nyumba hii iiinuliwa kuta zake kwa mara nyengine na nabii Ibrahim na mwanawe...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Kuna tunzo hutolewa kwa wahusika hata kama hawapo.Vile vile zipo na adhabu ambazo hukumu hutolewa kama mhusika yuko mbali. Kwa upande wa Netanyahu inaonesha amekubali kazi ya kuwafuta Hamas...
7 Reactions
8 Replies
462 Views
Vyombo vya habari vya Guinea vinaweza kutoa nafasi kwa vyama vilivyopigwa marufuku kabla ya kura ya maoni ya Septemba, Rais wa udhibiti wa vyombo vya habari nchini humo alisema, akibatilisha...
1 Reactions
3 Replies
340 Views
Ghana's President John Mahama has fired the country's Chief Justice Gertrude Torkornoo following a recommendation by an inquiry. She had been on suspension since April after complaints were...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Back
Top Bottom