International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Russian gold reserves break record The country’s bullion holdings were valued at $402.7 billion as of early February The value of Russia’s gold reserves has reached an all-time high, exceeding...
1 Reactions
3 Replies
269 Views
Algeria imeanza mchakato wa kusitisha makubaliano ya huduma za anga na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), ambayo yalisainiwa mwaka 2013. Uamuzi huu unaweza kuathiri sekta za kiuchumi kama usafiri...
0 Reactions
1 Replies
220 Views
Taarifa ambazo hazikudhibitishwa na serikali ya DRC au kundi la M23, zimedai kwamba mnamo tarehe 5 February, 2026, bwana Erik D. Prince, mwenye kampuni ya mamluki nchini Marekani, alikamatwa na...
3 Reactions
10 Replies
476 Views
Magaidi wa Hamas baada ya kusimamisha mapigano walijikusanya kwenye Gorofa moja ili wajipange upya kuishambulia Israel. Matokeo yake yalikuwa mabaya sana kwa waliuwawa wote waliokuwa ndani ya...
0 Reactions
1 Replies
169 Views
Dikteta na fisadi papa kiongozi wa china xi jinping amewafuta kazi na kuwaweka kizuizini general wa jeshi wawili kuwashutumu wanatumika na Trump, Pentagon (USA) kuihujumu china Anawasingizia kuwa...
8 Reactions
27 Replies
777 Views
February 5 2026 Lusaka, Zambia Ghana's President JOHN MAHAMA Addressing the Zambian National Assembly Calls for African Economic Sovereignty https://m.youtube.com/watch?v=FbGNJCpOmaU Signalling...
1 Reactions
2 Replies
259 Views
Meli mbovu ile ilizama au unakuta iliharibika unakuta ipo beach au chini kabisa ya maji huwa zinajulikana kama shipwreck. Kuna jambo nililiona hapo tarehe 15 hii january ambalo si la...
28 Reactions
266 Replies
34K Views
Kupitia tovuti zao, Ubalozi wa Marekani umetangaza kufunga Balozi zao nchini Burundi, Rwanda na Uganda. Hii ilitokana na ukosefu wa Fedha katika Balozi hizo baada ya Marekani kuchukua hatua...
2 Reactions
3 Replies
434 Views
Faili za Epstein zinaibua kumbukumbu ya 'nyakati za uchungu mwingi katika ndoa yangu' - Melinda Gates Chanzo cha picha,AFP via Getty Images Bilionea Melinda French Gates amesema mumewe wa...
0 Reactions
3 Replies
519 Views
Siku hizi, ukitembelea mitandao ya kijamii, huenda utashuhudia video za kuvutia kama hizi: kijana wa Ulaya ya kaskazini akivaa viatu vizito vyenye picha za panda, anakunywa maji moto ili kuongeza...
1 Reactions
0 Replies
256 Views
Mamlaka zote za juu za shirikisho nchini Marekani (Federal Authorities) zilitangaza kuwa hazikupata ushahidi wowote wa njama au ushirikiano. Inadaiwa hakukuwa na orodha ya wateja, mtandao wa siri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Yule bilionea wa Kimarekani aliyekuwa anatuhumiwa na makosa lukuki ya kufanya ngono na wasichana wadogo walio chini ya umri, kajiua akiwa lupango. R. Kelly akituhumiwa kwa makosa hayo hayo...
6 Reactions
39 Replies
5K Views
King Mswati III steps off a private jet in Abu Dhabi, United Arab Emirates, followed by a long line of attendants moving like a planned royal procession. After that, the internet starts filling...
5 Reactions
37 Replies
859 Views
Mpaka sasa, bado vita vya mashariki mwa DRC, vinazidi kupamba moto. Baada ya kundi la M23 kuachia mji wa uvira, kwa shinikizo la Marekani, serikali ya DRC kupitia jeshi lake na washilika wake...
1 Reactions
0 Replies
349 Views
Kesi ya rufaa ya raia wa ufaransa mwenye asili ya Rwanda anayekabiliwa na tuhuma za mauaji ya kimbari imefunguliwa Jumanne katika Mahakama ya Assize ya Paris. Claude Muhayimana alipatikana na...
0 Reactions
0 Replies
248 Views
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemteua bila kukusudia mtu aliyekufa kuwa mjumbe wa kamati itakayoandaa uchaguzi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki. Msemaji wa ofisi ya rais amesema hii leo kwamba...
0 Reactions
7 Replies
428 Views
Jeshi la Nigeria lilitangaza kuwa limefanikiwa kumuua kamanda muhimu wa kundi la kigaidi la Kiislamu, Boko Haram, katika operesheni ya usiku iliyofanyika jimbo la Borno. Abu Khalid alikuwa...
7 Reactions
18 Replies
520 Views
Polisi wa jimbo nchini Nigeria Jumanne wamewashtaki aliyekuwa Waziri wa Sheria, Abubakar Malami, pamoja na mwanawe Abdulaziz, kwa makosa matano yanayohusiana na ugaidi na umiliki wa silaha, miezi...
0 Reactions
0 Replies
211 Views
  • Redirect
Saif al-Islam Gaddafi, mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Kanali Muammar Gaddafi, ameripotiwa kupigwa risasi na kufariki dunia Saif mwenye umri wa miaka 53, ambaye kwa muda mrefu alionekana...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Libya, Hayati Muammar Gaddafi, Saif al-Islam ameripotiwa kuuawa katika eneo la Zintan nchini Libya, kwa mujibu wa wakili wake. Hadi sasa hakuna maelezo zaidi...
4 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom