Trump na Vice presdent wa USA wanasema hivi viongozi karibu wote wa duniani wanatamani kumpigia Simu Trump. Wengi wao wakipigiwa simu na Trump wanapokea hata Kim Jong Un wa North Korea, lakini...
Viongozi wa Hamas, Khaled Mashal na Muhammad Ismail Darwish wamekaa nchini Doha na Ali Larijani, afisa mkuu wa usalama wa Iran.
Niambie marafiki zako ni akina nani, nami nitakuambia ajenda yako.
Huyu jamaa yeye hataki Iran na Marekani wazungumze mgogoro uishe ,yeye anachotaka ni kuivamia Iran sasa kwenye kuivamia Iran yeye pekee yake Netanyahu hawezi kuvamia anataka kampani na Marekani...
Dalitso Lungu ambaye ni mtoto wa aliyekuwa rais wa Zambia amepoteza magari 79 na mali zisizohamishika 23 baada ya kushindwa kesi iliyokuwa ikimkabili. Kimsingi mahakama ilithibitisha pasi na shaka...
Africa is rapidly positioning itself as a global leader in solar energy growth, with installed solar capacity expanding at a pace unmatched in many other regions. While solar adoption has slowed...
Angalia!
~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.
~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo...
Viongozi wa Hamas, Khaled Mashal na Muhammad Ismail Darwish wamekaa nchini Doha na Ali Larijani, afisa mkuu wa usalama wa Iran.
Niambie marafiki zako ni akina nani, nami nitakuambia ajenda yako.
Wakuu,
Nimekutana na video hii ya wabunge wa Opposition wakiwa wanapigana na wabunge wa chama tawala kwenye bunge la Uturuki
Kwenye hii video wapinzani walikuwa wanamzuia Akin Gurlek ambaye...
Wadau hamjamboni nyote? Ni suala muda
Trump baadaye alithibitisha kwamba baadhi ya wafanyakazi wa Marekani wanahamishwa kutoka Mashariki ya Kati "kwa sababu inaweza kuwa mahali hatari."...
Februari 5, 2026 Rais wa Jamhuri ya Congo, Denis Sassou N’guesso, alitangaza kuwa atagombea katika uchaguzi wa urais utakaofanyika Machi 15, 2026 hatua inayoweza kuendeleza utawala wake wa miongo...
Mwanaume mmoja Raia wa Nchini Uturuki anayefahamika kwa jina la Mehmet Bilal C, amepata dola milioni 2.5 ambazo ni sawa na bilioni 6.3 za Kitanzania ndani ya miezi mitano kwa kuuza maji feki ya...
Southern Africa continues to make its mark globally, according to the latest Times Higher Education World University Rankings 2026, which assessed 2,191 universities in 115 countries.
Here are...
Baraza la Mawaziri la Usalama la Israeli liliidhinisha hatua madhubuti za kisheria za kuimarisha utawala wa Israeli huko Yudea na Samaria:
✅ Imefuta sheria ya zamani ya Jordan iliyowapiga...
Kulingana na uchunguzi wa Al Jazeera, mashambulizi ya mabomu ya Israeli huko Gaza yamesababisha miili ya Wapalestina 2,842 kutoweka kwa kuyeyuka na kuacha mabaki ya damu na mifupa pekee.
Ripoti...
Mara ya mwisho kwa PRC kupigana vita ilikuwa mwaka 1979, na ulikuwa ni mgogoro mdogo sana kule Vietnam. China imekuwa ikijificha nyuma ya kivuli cha soft power na propaganda, lakini inapokuja...
Kabla ya yote nitaomba kuderive formula nyepesi:
We created this illustration to explain the mechanics behind the American-made B-2 bunker-busting bomb, recently referenced in coverage of ongoing...
Waziri wa Marekani Mark Rubio ameonya dola ya marekani kupoteza nguvu baada ya nchi nyingi kutafuta mbadala wa dola
Kuna taarifa kadhaa za nchi husika kufanya biashara kwa sarafu zao badala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.