Venezuela imesafirisha shehena yake ya kwanza ya mafuta ghafi kwenda Israeli katika miaka mingi huku mauzo ya nje ya nchi hiyo yakifunguliwa tena kufuatia kukamatwa kwa Rais Nicolás Maduro...
Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina inakaribia. Siku hizi katika mitaa na vichochoro nchini China, kuna wageni wengi ambao wamekuja China kujionea na kupata uzoefu wa sikukuu hiyo muhimu sana...
Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatano ametoa wito wa "kufutwa mara moja" kwa kesi ya ufisadi inayomkabili Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu, ambayo ameitaja kuwa "haina umuhimu."...
Serikali ya Burkinabe imefuta rasmi Vyama na Mashirika yote ya Kisiasa nchini humo Mamlaka ikisema uamuzi huo ni hatua kuu katika ujenzi wa Serikali, ndani ya mfumo wa mpito unaoendelea tangu...
Kenya has announced plans to confront Russia over what it calls the “unacceptable” involvement of Kenyan nationals in armed conflicts abroad.
Nairobi condemned reports that its citizens are...
As preparations for the Munich Security Conference get underway, the U.S. ambassador to NATO firmly denied allegations that Washington seeks to undermine the global order.
The ambassador...
HABARI KUBWA! China imezuia uwekezaji mpya nchini Israeli kimya kimya.
Hatuhitaji uwekezaji wa Kichina nchini mwetu!!!.
Israeli ni taifa lenye nguvu duniani katika teknolojia, matibabu, na...
Rais Trump ametoa tangazo la video yenye ubaguzi wa rangi linaloonyesha Obamas kama tumbili. Ikulu ya Marekani awali ililinda chapisho hilo, kisha ikaeleza kuwa lilitolewa na mfanyakazi mmoja...
Hii Inatufundisha Usiamini Mtu hata kama Atakuonyesha upendo wa hali ya juu
Kati ya mwaka 2013 hadi 2015 mwanadada Catherine perez shakdam raia wa Ufaransa aliingia nchini Iran kutokana...
Mahakama ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Fedha (Kitengo cha Mahakama Kuu) imeamuru kutaifishwa kwa takribani magari 71 na mali 21 zinazomilikiwa na Dalitso, mwana wa rais wa zamani Edgar Lungu...
Nchi nyingi za kizungu zimeendekeza sana mambo ya kuwa open minded, Leo hii mtu anaweza kuchoma bendera, na ikaonekana sawa tu.
Wageni wengi sana wasio na vibali wanaingia na kuruhusiwa uwa raia...
IMETANGAZWA:Operesheni ya IDF ya kijasiri huko Lebanon
Baada ya magaidi wa Hezbollah kupigwa kama Ngoma kwa kipindi kirefu bila ya wao kurusha hata jiwe huko Israel!!!
Leo hii kuna Maelezo mapya...
Takriban watu 31 wamekufa na wengine zaidi ya 150 wamejeruhiwa katika shambulizi la kujitoa muhanga kwenye msikiti wa Kishia uliopo Islamabad Pakistan.
-----
A suicide attack at a Shia mosque...
Habari za karibuni ni kwamba mauaji ya wakristo na mapadre, yanayofanywa na magaidi wa kiislam yameendelea huko nchini Nigeria leo.
Habari za karibuni zilizotufikia ni kwamba Padri wa Kanisa...
''Iran imelipa gharama kubwa kwenye programu ya amani ya nyuklia na urutubishaji wa uranium.-Abbas Araghchi
- Kwanini tunasisitiza sana kwenye urutubishaji wa uranium na hatuna mpango wa kuachana...
Israeli inalaani Jukwaa la Al Jazeera kama "mkutano wa kilele wa jihadi" huko Doha
Wizara ya Mambo ya Nje ya Israeli ilitoa karipio kali kwa Jukwaa la 17 la Al Jazeera lililofunguliwa Doha...
Kabla ya kuanguka Utawala wa Ghadhafi huyu mtoto wa Ghadhafi alikuwa kama Rais wa pili, leo ameliwa kichwa na Walibya.
---
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Libya, Hayati Muammar Gaddafi, Saif...
BREAKING: Milipuko imeripotiwa kote Iran — angalau miji 7
Tehran, Bandar Abbas, Tabriz, Parand, Qeshm, Nowshahr, Ardabil
Kaskazini, kusini, mashariki, magharibi. Yote ndani ya saa chache...
Tawi la kundi la kigaidi linalojiita dola la kiislamu IS limedai kuhusika na shambulizi la kujitoa mhanga dhidi ya msikiti mmoja wa madhehebu ya Washia Pakistan lililosababisha vifo vya watu 31 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.