Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amemteua mtu aliyekufa kuwa mjumbe wa kamati itakayoandaa uchaguzi wa nchi yake.
Msemaji wa ofisi ya rais, amesema kwamba Rais Kiir amemteua bila kukusudia mtu...
Raisi Donald Trump amesema Marekani ni lazima iwe na uhakika wa usalama wake pale tu endapo eneo lake la Marekani ya Kusini ( Western Hemisphere) litakuwa salama na tulivu. Rais Trump amesema rais...
Kama ilivyokuwa kwa kukamatwa kwa rais wa zamani wa Venezuela Nicholas Maduro, kwanza, Marekani ililpeleka meli zake za kivita karibu na Venezuela. Kwa sasa, meli hizo sasa ziko karibu na Irani...
Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amemjibu tena Seneta wa Marekani Jim Risch kupitia mtandao wa X siku ya Jumanne, Februari 3, 2026, baada ya kuomba radhi hapo awali.
Mzozo...
Habari kubwa na ya kutisha kutoka mashariki ya kati. A short while ago, an American missile destroyer docked at Israel’s Red Sea port city of Eilat.
According to the Israeli military, the arrival...
Pamoja na ukweli kwamba nchi nyingi za kiafrika ni miongoni mwa mataifa yenye kuzalisha dhahabu duniani lakini linapokuja kwenye suala la hifadhi ya akiba ya madini hayo muhimu hakuna hata nchi...
Usiku wa jana UJD (US Justice Department) waliachia zaidi ya files 1000 zinazohusiana na kesi ya Epstein.
Sasa kama mnakumbuka vizuri, kuna kipindi miezi kadhaa iliyopita Elon Musk na Trump...
Inaonekana malengo ya Israel hayajafikiwa
Malengo makuu yalikua ni matatu
Mosi, ilikua ni kuharibu kabisa mpango wa Nyuklia wa Iran hapa wamefeli kwani Iran anaendelea kururubisha Urani kama...
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Kristalina Georgieva, amesema mfumuko wa bei duniani unatarajiwa kushuka hadi asilimia 3.8 mwaka huu na kufikia asilimia 3.4 ifikapo...
In a now-viral clip circulating across social media, Apostle Johnson Suleman, Senior Pastor of Omega Fire Ministries (OFM) Global—one of Nigeria’s largest churches with its international...
Wakuu,
Mkataba wa Rudd ulikuwa makubaliano muhimu ya haki za madini yaliyosainiwa mnamo Oktoba 30, 1888, kati ya Mfalme Lobengula wa Matabeleland na mawakala waliomwakilisha mfalme wa kikoloni wa...
⚠️ Ukumbusho Muhimu Kabla ya Kuongezeka kwa Uwezekano wa kipondo kwa Iran ⚠️
Makombora yanaporushwa kuelekea Israeli, kile tunachochapisha mtandaoni kinaweza kuokoa maisha, au kumsaidia adui...
Wakati Iran anatandikwa na Marekani wakati huohuo Magaidi wa Hamas nao wanapata kipigo cha mbwa-mwili huko Gaza!!!!
Safari hii Magaidi wa Hamas,Hezbollah, Houth na Bwana wao Iran wanapata kipigo...
Ukweli mchungu watu ambao hawataki kukubali,Marekani inaonea nchi ambazo hazipo technology kwenye silaha,yaan huwezi kushindana kivita na Marekani kwa silaha za kununua.
Lakini kama una...
Kiongozi wa upinzani nchini Guinea-Bissau, Domingos Simoes Pereira, ameachiwa huru kutoka gerezani baada ya kukaa mahabusu kwa miezi kadhaa.
Alikuwa mmoja wa wanasiasa waandamizi waliokamatwa...
Iran imetangaza kukamata zaidi ya waratibu maandamano miambili wakiwa na shehena kubwa ya silaha,vilipuzi na mabomu ya petrol, wakiwemo watumishi wa MOSSAD, shirika la ujasusi Israel
Baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.