Uko na msichana wa kazi ndani,baadae unahisi ana mimba baada ya kumpima ikaonekana kweli ana mimba,ktk kumuhoji mimba ya nani kasema ya shemeji,jioni ilipofika mke anamuuliza mumewe kwanini...
Hey pipoz, mwaka ndo unasepa huu,
Je unakuachaje kiuchumi, social nk.
Kwa upande wangu Kiuchumi hapo mwanzoni nilipata shida sana, niliajiriwa na mjomba wangu ambae ana mapesa mengi sana.
Lkn...
Nimewapigia voda sijapata msaada mzuri mhudumu hajanisaidia. Nina samsung galaxy j5 nimefanya setting za apn kama Wap na jina kama vodacom wap. Nimejiunga bando 1gb la wiki....tatizo sipati...
Msemaji wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Sheikh Khamis Mataka ameeleza kuwa ni kweli baraza hilo linakabiliwa na hali ngumu kifedha kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya wafanyakazi...
Habari zenu wapendwa,
Takriban miezi minne sasa nimekua nikisikia matangazo tofauti tofauti yaliyoandaliwa kwaajili ya kuelimisha jamii kwamba SI KILA HOMA NI MALERIA...
Nina uhakika nguvu na Rasilimali tunazowekeza kwenye kuhudumia Wanyama wa porini, kama tungeiwekeza kwetu, maisha yetu yangekuwa bora zaidi kuliko yalivyo sasa hivi!
Ukianzia kuwalinda, kwa...
Habari zenu wana jamvi?Ni zaidi ya mara moja nimekuwa nikinunua umeme kupitia M-Pesa na Tigo Pesa kisha sipokei ujumbe wenye Token na kunionesha kuwa nimenunua umeme.Baada ya kupiga simu huduma...
Kila jambo lina faida na hasara zake.
Pamoja na kuwa na kero nyingi sana kwa kutumia usafiri wa Daladala kwa mihangaiko ya kawaida pia kuna raha yake ya kutumia usafiri huu ukilinganisha na...
Hi great thinkers katika maisha tunakumbana na mambo mengi ikiwamo ya kuhuzunisha na kubakisha kumbukumbu isiyofutika.
Binafsi sitasahau mwaka 1995 nilipopata ajali nikiwa na mama yangu mzazi na...
Miaka ya nyuma shule za st.mery zilizoko tabata,mbagala,mbezi za mama rwakatare
Zilikuwa zikisifika kwa elimu bora na wanafunzi kuongea kingereeza lakini siku hizi hazisikiki kama ilivyokuwa...
Habari za majukumu hapa jukwaani.
Moja kwa moja kwenye mada.wanaJF,wandungu, ktk maisha watu hawalingani na msaada ni jambo la kawaida sana. Hata mwenye uwezo anaweza kuhitaji msaada wa maskini...
Naandika kutoka kimara kibo na maeneo ya jirani jamani maji hayatoki wiki ya pili hapa na maeneo ya jirani vyoo vinanuka maradhi ya mlipuko yanatunyemelea jamani tuokooeni
Aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, PC George Bisongoza (30), aliyefukuzwa kazi mwaka 2013, amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kusafirisha magunia 18 ya bangi yenye thamani ya Sh55.7...
Plot ambapo nyumba ya ibada ya Pool of Siloam imejengwa ni kiwanja ambacho Munuo ambaye anajiita Nabii Eliya alimdhulumu Mzee Kimambo ambaye alikuwa amejenga nyumba yake hapo. Munuo yalitumia...
Habari za hapa!!
Nimejaribu kuangalia , kwa wale wahudhuriaji wa kanisani kuna jamaa aisee hawakosi kanisani, duh mvua, jua, alale saa nane siku jumamosi, jumapili ataamkia kanisani asubuhi...
Habari wanajf.
Nitasafiri na familia kwenda Mwanza, nimepanga kulala Nzega na familia kabla sijaendelea kesho yake Mwanza. Najua JF members wametapakaa nchi nzima na hata nje ya nchi. Naomba...
wakuu.
jah Bless.
kua rastafarian ni imani tu iliyo ndani ya moyo na kile unachowaza japo kuna miiko kwenye imani yetu,
Imani hii haina ubaguzi kabisa ni imani ya kuamini katika usawa na kuheshimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.