TANESCO wilaya ya Hai acheni mazoea katika kazi

kisinja

JF-Expert Member
Sep 30, 2013
241
295
Mh. Waziri wa Nishati tafadhali tupia macho TANESCO Wilaya ya Hai.

Wanafanya kazi kwa mazoea na kila unapoenda kwa ajili ya huduma ni watu wa njoo kesho njoo kesho bila kujali wateja wanatoka mbali kwa ajili ya kufuata huduma.

Pia lipo tatizo katika kupata huduma ya kuunganishiwa umeme na wahusika wamekuwa wakifanya kazi kwa mazoea ikiwemo kuchelewesha makusudi uunganishaji wa umeme bila sababu pamoja na wateja kulipia huduma hiyo kwa muda mrefu.

Viongozi husika chukueni hatua.
 
Hata Mimi sasa ni mwaka watano Hai tangu niripoti na waliweka kwenye rejesta yao hawajanifungia seal nakila wakija wanauliza mbona seal hamna na nawajibu hamkuweka.HAI NI KERO
 
Hayo ni Matatizo anayopaswa kushughulikia Mbunge kwa kuwa hayahitaji bajeti ya Serikali
 
Mh. Waziri wa Nishati tafadhali tupia macho TANESCO Wilaya ya Hai.

Wanafanya kazi kwa mazoea na kila unapoenda kwa ajili ya huduma ni watu wa njoo kesho njoo kesho bila kujali wateja wanatoka mbali kwa ajili ya kufuata huduma.

Pia lipo tatizo katika kupata huduma ya kuunganishiwa umeme na wahusika wamekuwa wakifanya kazi kwa mazoea ikiwemo kuchelewesha makusudi uunganishaji wa umeme bila sababu pamoja na wateja kulipia huduma hiyo kwa muda mrefu.

Viongozi husika chukueni hatua.
mleta mada mungu akupe mapacha na akupngezee umri WA kuishi.mimi nimefungiwa umeme miaka 12 iliyopita huko huko wilaya ya hai,sasa nguzo iweoza inaanguka nimekwenda kuripoti ili wabadilishe hiyo nguzo huu Ni mwaka WA pili ,wala hawajali na umeme iko chino tena barabarani kibaya zaidi Ni umeme mkubwa WA waya nne. Waziri WA nishati, hai Kuna shida tena shida ya kudumu,na Wendi WA wafanyakazi wamedumu kituo kimoja kwa muda mrefu. Ni ukweli tanesco hai hsiendani na kasi ya utendaji WA Rais wetu.ova
 
Mh. Waziri wa Nishati tafadhali tupia macho TANESCO Wilaya ya Hai.

Wanafanya kazi kwa mazoea na kila unapoenda kwa ajili ya huduma ni watu wa njoo kesho njoo kesho bila kujali wateja wanatoka mbali kwa ajili ya kufuata huduma.

Pia lipo tatizo katika kupata huduma ya kuunganishiwa umeme na wahusika wamekuwa wakifanya kazi kwa mazoea ikiwemo kuchelewesha makusudi uunganishaji wa umeme bila sababu pamoja na wateja kulipia huduma hiyo kwa muda mrefu.

Viongozi husika chukueni hatua.
Kuna vidada vinakaa pale yaani kwenda kula ni masaa 4 .halafu manager yupo na anapewa na tageti za perfomance yake .yule mwingine anaitwa masawe ndo NYOKA WAO YAANI UKITA KUINGIZA UMEME YAANI SURVEYOR LAZIMA AWE YEYE baada wanakuja kugawana hiyo 50, 000 .sijaona sehem yenye watunishi wapenda rushwa kama tenesco ya BOMANGOMBE
 
mleta mada mungu akupe mapacha na akupngezee umri WA kuishi.mimi nimefungiwa umeme miaka 12 iliyopita huko huko wilaya ya hai,sasa nguzo iweoza inaanguka nimekwenda kuripoti ili wabadilishe hiyo nguzo huu Ni mwaka WA pili ,wala hawajali na umeme iko chino tena barabarani kibaya zaidi Ni umeme mkubwa WA waya nne. Waziri WA nishati, hai Kuna shida tena shida ya kudumu,na Wendi WA wafanyakazi wamedumu kituo kimoja kwa muda mrefu. Ni ukweli tanesco hai hsiendani na kasi ya utendaji WA Rais wetu.ova
Kile kidada cha pale CHASHIER kama ndo mmeneja ningekifukuza keshokutwa yaani unakipelekea pesa halafu kinachart nusu saa nzima utafikiri tenesko ni ya baba yao meneja yupo halafu wala haoni tatizo
 
Ku
Kuna vidada vinakaa pale yaani kwenda kula ni masaa 4 .halafu manager yupo na anapewa na tageti za perfomance yake .yule mwingine anaitwa masawe ndo NYOKA WAO YAANI UKITA KUINGIZA UMEME YAANI SURVEYOR LAZIMA AWE YEYE baada wanakuja kugawana hiyo 50, 000 .sijaona sehem yenye watunishi wapenda rushwa kama tenesco ya BOMANGOMBE
a mdada mwingine pale kabla hujamuona meneja yeye nfiye anakusikiliza kwanza, amkaa kituo hicho yangu mwaka 1990, du
 
Back
Top Bottom