Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Habari wanajukwaa na wote kwa ujumla. Tafadhali sana mods naomba msiondoe huu uzi sababu nimefikiria itakua very helpful kwa ajili ya kuripoti utapeli unaofanyika haswa kwenye eneo la kutafuta...
0 Reactions
2 Replies
785 Views
Kibo walikuwa wameomba licence ya kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe. Lakini siku za karibuni wamekuwa kimya. Je serikali imenyima licence? Kama serikali imekataa kuwapa licence...
0 Reactions
2 Replies
801 Views
Nimebahatika kujumuika na wadau (wananzengo) kwenye fukwe za Ukerewe kipindi flani kimepita, hizi ni tofauti kabisa na fukwe nyingi duniani kama sio Tanzania. 1:Kule tunaogelea uchi wa mnyama...
59 Reactions
161 Replies
28K Views
Kipindi kama hiki kwa miaka mingi sana ndio mgao wa umeme hushika kasi , sasa kama tunatumia gesi ( ya songosongo au ya Mtwara ) , kama ni kweli kwanini hakuna umeme wa uhakika ? Kuna wakati...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumaini hamjambo wadau wa mashairi na fasihi kwa ujumla. Baada ya kumaliza kuandika kitabu changu cha ushairi kwa lugha ya kiingereza kinachoitwa 'SONGS OF AFRICAN FATHERS' kitabu hiki...
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Kwenu halotel Tanzania naomba mtusaidie kukamata watu hawa matapeli waliotumia mtandao wenu kutapeli watanzania wanajiita MKOMBOZI ASSOCIATION PLATFORM FORM GEITA naamini kwa kushirikiana na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mtaalamu na Mshauri wa Masuala ya Saikolojia kutoka Taasisi ya Ustawi wa Jamii Tanzania, Zainabu Rashidi amesema mimba za utotoni zinaathiri mwenendo na tabia za msichana ambapo asipopata matibabu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hakika nimefarijika sana iwapo watatokea wapinzani wanifahamishe ugumu Wa maisha ila furaha itakuwa kubwa sana Kwa wenye Serikali (CCM) watajitokeza Kwa wangi kuielezea hii hali.
0 Reactions
8 Replies
907 Views
kiukweli, Airtel ni mtandao makini, baada ya kushindwa kupokelewa fedha kiasi cha laki 5 kwa mtu niliemtumia, huduma kwa wateja walifanya jitihada kubwa sana. Walinipigia simu zaidi ya mara 3 ili...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Nchi ya Tanzania itaendelea kuwa masikini paka pale atakapopatikana kiongozi Mwenye maono na hekima ya Mungu. Haiwezekani asilimia kubwa ya watawala wetu wanategemea waganga alafu watutoe kwenye...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Sasa ashitakiwa kwa Waziri Mkuu Ni kuhusu kusitisha nauli za kivuko JK naye ajulishwa kuhusu mashitaka Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli Upinzani dhidi ya nauli mpya za huduma za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Kuna kitu huwa sikielewi Kwa hawa ma engineer wanaojenga barabara zinazokatisha katikati ya bahari . kwetu naona iko moja tu Na siwezi sema Ni barabara lile Ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi karibuni kumekuwa na mwelekeo wa kutokea mgomo ukiwahusisha TABOA na wamiliki daladala Dar. Punde tukasikia naibu waziri kaingilia kati na kusimamisha yaliyokuwa sheria mpya zisizohusisha...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Sijui nilini Mungu atatusaidia tupate watendaji wabunifu,leo malori yanayosubiri kuvuka mpaka kwenda nje yatanganyika yamejipannga hadi kijiji cha Ihanda km 29,ivi zile hela tulizonunulia ndege...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Naona kila mara yanapokuwepo matatizo, utasikia waziri husika amepinga kuwa taarifa flani ya uongo. Hii imejitokeza kuanzia sekta ya afya, maji, elimu, uchumi, ulinzi nakadhalika. Waziri wa...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wakuu , Jana nilikuwa kwenye daladala nikielekea posta, kwa pembeni yangu kulikuwepo na mzee mmoja ambaye alikuwa anaelekea ubongo terminal ,katika kupiga story za hapa na pale yule mzee...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu nawaza kitu hapa, Ni miezi kama mitano au minne tangu ndege yetu izuiliwe kuja kwetu kwa sababu za kisheria na madai. Nauliza tukiweka kibiashara hasara ya kutolipa na kuipata hiyo ndege...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
UPDATE 1-Tanzania suffers national power outage after technical fault-supply company By Fumbuka Ng‘wanakilala DAR ES SALAAM, Nov 30 (Reuters) - Tanzania was hit by a country-wide blackout early...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii maada naipandisha kwa kero kubwa Hapa Mwanza suala la mabinti wa chuo cha SAUT kujiuza ilikuwa kawaida sana, mtu mgeni akija, akitaka manzi wa kupozeaa anaambiwa subiri watoto wa SAUT, hasa...
8 Reactions
44 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…