Wakuu nawaza kitu hapa,
Ni miezi kama mitano au minne tangu ndege yetu izuiliwe kuja kwetu kwa sababu za kisheria na madai. Nauliza tukiweka kibiashara hasara ya kutolipa na kuipata hiyo ndege mpaka leo inaweza kuwa kiasi gani?
Nakumbuka miezi minne baada ya zile mbili kuja hapa walisema tumepata faida ya millions. Je tunaweza kujua hasara kiasi gani? sometimes bora ulipe kazi ianze kuliko kuchelewa kisha ukalipa...
Nangu mahwelu
Ni miezi kama mitano au minne tangu ndege yetu izuiliwe kuja kwetu kwa sababu za kisheria na madai. Nauliza tukiweka kibiashara hasara ya kutolipa na kuipata hiyo ndege mpaka leo inaweza kuwa kiasi gani?
Nakumbuka miezi minne baada ya zile mbili kuja hapa walisema tumepata faida ya millions. Je tunaweza kujua hasara kiasi gani? sometimes bora ulipe kazi ianze kuliko kuchelewa kisha ukalipa...
Nangu mahwelu