Mambo usiyoyajua kuhusu beach za Ukerewe yanaweza kuwa hayapo beach yoyote duniani

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Nimebahatika kujumuika na wadau (wananzengo) kwenye fukwe za Ukerewe kipindi flani kimepita, hizi ni tofauti kabisa na fukwe nyingi duniani kama sio Tanzania.

1:Kule tunaogelea uchi wa mnyama, hakuna mbwembwe za kuvaa vivazi vya ujanjaujanja.

2:Kule wanawake wanasehemu yao na wanaume wanasehemu yao, ingawa wote wanakuwa uchi wa mnyama japo mnaonana kwa mbali.

3:Kule ukiogelea au kuoga vyovyote vile utakavyo ila ili zoezi likamilike lazima ujisugue mwili kwa mtego (dodoki maalumu), na kama umefanikiwa kuwa na machacha/magaga utakuta jiwe natural saafi pembeni kwa ajili ya kusugua hayo majamaa.

4Pamoja na shughuli zote, ukirudi nyumbani lazima uende na kakitu umeshika mfano labda ndoo ya maji, au samaki kutoka kwa wakokozi, au kigusu (jiwe maalumu la kusugulia ukoko wa ugali kwenye sufuria wakati wa kuosha vyombo), au chochote ingawa hii ni kwa wanawake zaidi.

5:Kule beach ni kilugha tu, hata kama mtu hakujui.Pia sabuni mnaazimana, hata iwe kicherema kiasi gani itawatosha wote na mtafurahi.

6Pamoja na anasa hiyo ya kuogelea ziwa la maji baridi, tishio la kuviziwa na mamba kutafunwa na kuchambuliwa kama karanga kinywani mwake liko palepale. kwa ufupi "Swim at your own risk".

Kweli tembea uone.
 
nimebahatika kujumuika na wadau (wananzengo) kwenye fukwe za ukerewe kipindi flani kimepita, hizi ni tofauti kabisa na fukwe nyingi duniani kama sio tanzania.

1:Kule tunaogelea UCHI WA MNYAMA, hakuna mbwembwe za kuvaa vivazi vya ujanjaujanja.

2:Kule wanawake wanasehemu yao na wanaume wanasehemu yao, ingawa wote wanakuwa uchi wa mnyama japo mnaonana kwa mbali.

3:Kule ukiogelea au kuoga vyovyote vile utakavyo ila ili zoezi likamilike lazima ujisugue mwili kwa Mtego (Dodoki maalumu), na kama umefanikiwa kuwa na Machacha/Magaga utakuta jiwe natural saafi pembeni kwa ajili ya kusugua hayo majamaa.

4Pamoja na shughuli zote, ukirudi nyumbani lazima uende na kakitu umeshika mfano labda ndoo ya Maji, au samaki kutoka kwa wakokozi, au kigusu (jiwe maalumu la kusugulia ukoko wa ugali kwenye sufuria wakati wa kuosha vyombo), au chochote ingawa hii ni kwa wanawake zaidi.

5:Kule beach ni kilugha tu, hata kama mtu hakujui... Pia sabuni mnaazimana, hata iwe kichelema kiasi gani itawatosha wote na mtafurahi.

6Pamoja na anasa hiyo ya kuogelea ziwa la maji baridi, tishio la kuviziwa na mamba na kutafunwa kama karanga liko palepale. kwa ufupi "Swim at your own risk".

kweli tembea uone...
Dah umenifurahisha itabidi niende na mimi nikafanye utalii.
Hapo ndipo utagundua wanawake kuwa uchu siyo chanzo cha ubakaji bali ubakaji uko kichwani mwa mbakaji tu
 
Kiongozi umenikumbusha kisiwa cha ukara.

Issue ya kuoga ziwani naona ni kwa wananchi wengi waliozungukwa na ziwa. Hata wajaluo waliokaribu na ziwa wanaoga vivyo hivyo. Kuna upande wa kike na kiume. Na sio mbali mnakuwa mnaonana kabisa.

Issue inakuja kwa mwanaume mwenye kibamia! Lazima uone soo, inabidi uende kuoga jioni jioni ambapo ni hatari zaidi kuliwa na mamba.
 
hahaha sipo huko nilipita tu kipindi flani, jina sikumbuki ila nilikuwa nimefikia mitaa ya Namagubo...
hivi ile international beach ya mzungu GALU beach na yenyewe inaviwango hivyo hapo juu.

Hahahaaa....hapo Galu beach nilikuja mwaka juzi nikaambiwa ipo sawasawa yakiyonikuta nikijuta balaa likaja usiku naambiwa kunaukumbi wa disco matata sana kwenda nakuta ni hall
 
Kiongozi umenikumbusha kisiwa cha ukara.

Issue ya kuoga ziwani naona ni kwa wananchi wengi waliozungukwa na ziwa. Hata wajaluo waliokaribu na ziwa wanaoga vivyo hivyo. Kuna upande wa kike na kiume. Na sio mbali mnakuwa mnaonana kabisa.

Issue inakuja kwa mwanaume mwenye kibamia! Lazima uone soo, inabidi uende kuoga jioni jioni ambapo ni hatari zaidi kuliwa na mamba.
hahaha ila jaluo mambo va vibamia kwao huwa sio changamoto, changamoto yao huwa hawapigwi visu. ila kule hata kama watu wote mko uchi wa mnyama hakuna anayemshangaa mwenzake huo uswahili wa vibamia inaonekana haujaeneo huko.
 
unanikumbusha mbali sana mkuu, Kule yaani watu hawana aibu kabisa unaweza kukuta wanaume na wanawake wameachana hatua 10 tu, lakini wote wapo uchi wa mnyama na hawaoneani aibu
pia babu, baba na watoto wanaoga pamoja uchi bila aibu! dah! kule ni ulimwengu mwengine!
 
Haaaaaaaaa. Kumbe tulijaliwa kwenda kule kutalii tupo wengi!

Mimi nilifanikiwa kwenda 2002 siku hamini macho yangu kuona vyombo nje nje tena wadada hawajali wanaendelea na kuogatu hawana habari na mtu wamekupa uhuru wa kutazama shoo yote.

Ilinishangaza sana nikawaza moyoni kumbe kuna sehemu tanzania hii wameendelea sana na mambo ya kizungu.
 
hahaha ila jaluo mambo va vibamia kwao huwa sio changamoto, changamoto yao huwa hawapigwi visu. ila kule hata kama watu wote mko uchi wa mnyama hakuna anayemshangaa mwenzake huo uswahili wa vibamia inaonekana haujaeneo huko.

Ni kweli kiongozi, wajulo wengi na hasa wa vijijini hawajatairiwa. Inasemekana wanaume wengi waliokulia ziwani au baharini na ambapo mlo wao wa kila siku ulikuwa haukosi samaki, huwezi hata siku moja ukasikia mwanamke anasema huyo mwanaume ni kibamia. Protini ya samaki ni bora na yenye afya.

Wanaume wa mjini ndiyo shida. Tangu akiwa mdogo ni chai na andazi/mkate asubuhi na mchana anakula pilau. Halafu deka deka nyingi mtoto mdogo wa kiume kula hataki basi shida tupu, mpaka mtoto aambiwe "kula" au "meza":)
 
Haaaaaaaaa. Kumbe tulijaliwa kwenda kule kutalii tupo wengi!

Mimi nilifanikiwa kwenda 2002 siku hamini macho yangu kuona vyombo nje nje tena wadada hawajali wanaendelea na kuogatu hawana habari na mtu wamekupa uhuru wa kutazama shoo yote.

Ilinishangaza sana nikawaza moyoni kumbe kuna sehemu tanzania hii wameendelea sana na mambo ya kizungu.
Hahahahaha zaidi ya wazungu
 
Back
Top Bottom