Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Habarini,
Yaaani sikuamini,
Mi nimkazi wa Dar sawa, lakini nature ya kazi yangu na mahala nikaaapo huwa sikutani sana na haya niliyoyaona leo.
Nilikwenda mbezi ya kimara kulala huko na leo asubuhi nikasema "nirauke" asubuhi na mapemaaa ili niwahi nyumbani kwangu nikalale maana huko mbezi kulikua na shughuli flani.
Saa 11 asubuhi naingia barabarani kuelekea maeneo ya ubungo. Nimekutana na foleni ndefu sana.
Nikajiuliza hawa watu wanawahi makazini sawa. Lakini kazini unatakiwa uripoti labda saa mbili. Wewe unaamka kwako say saa10 alfajiri ili by saa 11 alfajir uwe barabarani.
Mwili wako unakua unafikiria na kufanya kazi jumla yamasaa 13. Yaani kuanzia saa 10 alfajir mpaka 11 Jioni.
Je, utendaji wa kazi hapa kweli utakua wa ufanisi? Akili itakua active kweli kwa massaa yote haya? Adha yote ya nini hii? Dah!
Yaaani sikuamini,
Mi nimkazi wa Dar sawa, lakini nature ya kazi yangu na mahala nikaaapo huwa sikutani sana na haya niliyoyaona leo.
Nilikwenda mbezi ya kimara kulala huko na leo asubuhi nikasema "nirauke" asubuhi na mapemaaa ili niwahi nyumbani kwangu nikalale maana huko mbezi kulikua na shughuli flani.
Saa 11 asubuhi naingia barabarani kuelekea maeneo ya ubungo. Nimekutana na foleni ndefu sana.
Nikajiuliza hawa watu wanawahi makazini sawa. Lakini kazini unatakiwa uripoti labda saa mbili. Wewe unaamka kwako say saa10 alfajiri ili by saa 11 alfajir uwe barabarani.
Mwili wako unakua unafikiria na kufanya kazi jumla yamasaa 13. Yaani kuanzia saa 10 alfajir mpaka 11 Jioni.
Je, utendaji wa kazi hapa kweli utakua wa ufanisi? Akili itakua active kweli kwa massaa yote haya? Adha yote ya nini hii? Dah!