RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,833
Kama nusu saa hivi nimekuwa nikisikia gari inaunguruma nje ya uzio wangu, ikabidi niamke nikae niangalie ni gari gani na lengo lake nini.
Liliposimama siwezi kuliona naona taa tu na kusikia mlio, sasa lilipoanza kuondoka ndio nimegundua ni Land Cruiser ya Polisi, zile zilizokarabatiwa kwa ubunifu wa Makonda roho ikatulia maana watu wasiojulikana siku hizi ni wengi.
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Makonda manaake siku hizi hata huku Uswahilini kwetu tunaona magari ya doria.
Liliposimama siwezi kuliona naona taa tu na kusikia mlio, sasa lilipoanza kuondoka ndio nimegundua ni Land Cruiser ya Polisi, zile zilizokarabatiwa kwa ubunifu wa Makonda roho ikatulia maana watu wasiojulikana siku hizi ni wengi.
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Makonda manaake siku hizi hata huku Uswahilini kwetu tunaona magari ya doria.