Mungu alinisaidia mimi na mke wanguk, tuliteseka na kutukanwa mno kwasababu hatuna watoto, mke wangu ali endure mambo mengi sana sana, mwisho wa siku, Mungu amebadilisha historia, tunazaa mapacha mapacha, na mzigo mkubwa unaotusumbua sasaivi ni NAMNA YA KUZUIA MIMBA...hahahaha, zamani tulikuwa tunatafuta mimba kw amiaka karibia 5, Mungu akabadilisha historia uzao umekuwa mwingi mno kiasi kwamba muda wote tupo makini mke wangu asi conceive tena. hebu jaribu kufikiri, mwanzoni unahangaika kutafuta mimba, Mungu anabadilisha historia unaanza kuhangaika kuzuia mimba....Mungu wetu anaweza yote, hakuna jambo hata moja asilo liweza. kama alikausha maji ya bahari ya shamu, akatoa maji kwenye mwamba watu wakanywa, akadondosha mikate/mana ya mbinguni, alifanya maajabu mbele wa Wamisri, amefanya maajabu tangu enzi hadi leo bado anafanya, Mungu huyo huyo alibadilisha historia ya maisha yangu, pale unapoona kwa akili ya kibinadamu umeshindwa ndo umefika Mwisho, Mungu ndio huwa anaanzia hapo. Utukufu na heshima ni vyake yeye milele na milele.
kama kuna mtu anahangaika kutafuta watoto, NAKUHAKIKISHIA Mungu wetu hashindwi, wala usihangaike kwenda kwa waganga watakuwekea nyoka au mzimu tu utafikiri mtoto kumbe umebeba matatizo, Mungu wetu anao uwezo wote kukupa watoto. WATOTO NI ZAWADI TOKA KWA MUNGU, na yeye ndiye anatoa watoto. kuna mengi Mungu amebadilisha historia ya maisha yangu kabisa kabisa, na maisha yangu ni ushuhuda. Mungu yupoooooooooooooooooooo. Haleluya to the Lamb of God!
was reading Isaiah 53 recently, Mungu ameahidi kuwa kwa kupigwa kwake tumepona, na kwamba "for the sake of his only begotten, he will forgive our sins, and will save us. nenda kwa Mungu kwa njia ya Yesu Kristo, mkumbushe Mungu kuwa akumbuke ile Damu ya Yesu iliyomwagika, hatuendi kwa Mungu kwasababu ya matendo yetu hata yangekuwa masafi vipi, tunapokelewa kwake just for the sake of what Jesus did on the cross, and that is the only thing God can be mindful of us. mlilie Mungu, plead the bood of Jesus, utaona matokeo ya wazi na utakuwa ushuhuda. may God bless you all!