nimatumaini yangu kuwa hamjambo wapendwa katika bwana, bila kupoteza muda naomba niende kwenye hoja yangu
Kama nilivoleta Uzi wangu wa kuwataka wana jf wanisaidie kwa mambo matatu ambayo...
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kitarungu Wilayani Serengeti, Thomas Marwa ametwangwa makonde na mwalimu mwenzake akiwa ofisini kwake.
Tukio hilo lilisababisha masomo na shughuli zingine...
Ifikapo Desemba 10 kila mwaka, dunia huadhimisha siku ya Azimio la Haki za Binadamu lililoasisiwa mwaka 1948 na kuwa tamko rasmi linaloainisha haki za msingi ambazo kila binadamu anatakiwa...
Mpendwa Waziri Mhe.Jenista Mhagama,
Nakusalimu katika uzalendo wa kulijenga taifa letu la Tanzania, ni matumaini yangu wewe ni mzima wa afya kimwili, kiroho na kiakili. Mungu azidi kukulinda na...
Kamanda Haule akimhoji Jianhua Xiong ndani ya kiwanda cha kutengeneza mafuta ya kupikia cha Jielong kwanini wamekiuka sheria za nchi kwa kusafirisha mawe hayo na kuyahifadhi kwenye kiwanda cha...
Napenda kuchukua fursa hii kutoa mchango wangu juu ya matumizi mabaya ya neno "Ameen "
Hili neno linatokana na neno la Kiebrania "Amina" likiwa na maana ya "Na iwe hivyo."
Neno hilo lilitumika...
Kumezuka makanisa ya ajabu kama kanisa wanalotumia pombe kubatizia waumini na pia kutumia kileo wakati ibada ikiendelea.kuna makanisa ambayo wachungaji wawili wa jinsia ya kike kuoana wao kwa wao...
Wadau kwema??
Nimesikia tetesi kua Usiku huu Kanisa la ufufuo na Uzima la Gwajima linabomolewa sababu liko kwenye hifadhi ya barabara, kuna mwenye taarifa??
Ni Gwajima Mwenyewe anabomoa au...
kumeibuka nfumo wa vyuo ambavyo tunaweza kuviita MOBILE UNIVERSITY kutokana na mfumo wa uendeshaji wake. Mfumo huu umeshika hatamu kipindi hiki ambacho kila chuo kinapambana kuhakikisha...
Tumeshuhudia nchi nyingi ambazo ni watengenezaji wa silaha za kivita ikiwemo ndege, mabomu, mizinga, vufaru na silaha nyinginezo kustaafisha na kuziondoa kwenye matumizi amabapo zimetumia garama...
Toka Jana tumeshuhudia Umahari wa Jeshi letu la Wananchi Jinsi linavyo rusha ndege zao huku Dodoma.
Ila Duu unaweza toka mbio yaani anaishusha na inaachia mlio wa kurusha Roho... Natamani...
Vyombo Vya Habari Vimechangia Kupotea Kwa Mwandishi Azory Gwanda Kwasababu Viliamua KUYAFUMBIA MACHO Matukio Ya Watu Kuokotwa Kwenye Sandarusi Coco Beach, Watoto 1300 Kupotea Kibiti, Watu Kutekwa...
Jumla ya wagonjwa 185 katika halmashauri ya wilaya ya Nyasa walifika hospitalini kupatiwa matibabu na wagonjwa nane kufariki, wagonjwa wawili wanapatiwa matibabu sasa hivi
Ugonjwa huo ulianzia...
Wakuu,
Nina mdogo wangu yupo chuo, yeye alipata mkopo 100% lakini kila mwezi anaomba wazazi hela ya matumizi, pia kodi ya chumba alikopanga ikiisha anaomba na kkulipiwa.
Je ni kweli mkopo elimu...
It’s all starting to feel like very familiar territory now…
Nothing financially bad can ever happen again. The stock market feels nice and cozy. People continue to make money. What’s not to like...
Inatuchukua miaka mingi ya kujitolea na kumwomba Mungu hadi kufanikiwa kujenga nyumba za ibada. Kama Magufuli hajashiriki kujenga nyumba za ibada, hajui gharama kubwa inayotupata kujenga nyumba...
Jiji la Dar es Salaam limechukua tuzo ya Bloomberg Philathropies kutokana na mradi wa mabasi ya mwendokasi DART ambao umepunguza foleni barabarani na uchafuzi wa hali ya hewa
Usafiri huu...