kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,493
Kumezuka makanisa ya ajabu kama kanisa wanalotumia pombe kubatizia waumini na pia kutumia kileo wakati ibada ikiendelea.kuna makanisa ambayo wachungaji wawili wa jinsia ya kike kuoana wao kwa wao, kuna vilvile makanisa wachungaji wanatumia nguvu za giza kama kuzika maiti kwenye misingi ya kanisa nk.Je kuzuka kwa makanisa haya kunamaanisha nini? Je Shetani anakaribia kushinda?