faabroz
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 286
- 69
Naomba msaada wana jf wa guest za kulala naenda tabora chuo cha utumishi wa umma nipo kwenye muro na tabora ndo Mara ya 1 kufika, kama kuna MTU anajua guest ya kulala kuanzia 15-20 unaweza ukani pm namba niweze kubook kabisa au kama unaifahamu ulilala pia usisite, ahsante kwa msaada