Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

What are some things you realize as you get older?(Je, ni mambo gani unayotambua jinsi unavyokua mkubwa?)
0 Reactions
1 Replies
423 Views
Hongera mbunge wa Mtama Nape kwa uzalendo wa kutembelea hifadhi ya Ngorongoro, mimi ni mpiga kura wako nilikuwa kwenye pilika zangu za kutafuta mkate wa kila siku.Mara nikakuona hapa shimoni...
0 Reactions
3 Replies
905 Views
Nilikuwa nachati na rafiki yangu kwa whatsap hapa, alikuwa ananismulia tukio lililowakuta leo maeneo ya Kipawa. Alikuwa anatoka Gerezani wakiwa abiria wengi katika gari, waliokaa na kusimama...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Usiku nigiza ikifika 19:00hrs 22:00hrs nimda wazinzi wanafanya yao.23:00hrs 01:00hrs mda wamakahaba 01:45hrs 04:30.mda wawachawi wanafanya yao hapo ndiopaguni. wachawi wanafanya mambo mengi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna maneno sana huku kwetu kambini kuhusu watanzania na wanainchi wa nchi zingine kuhusu utendaji wa kazi...ni kweli sisi ni wavivu au tunasingiziwa tu wa mataifa mengine?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mr Laurence Jumanne Mabawa....Mwanaharakati MWANAHARAKATI mzalendo ambaye alipata kuwa gumzo mwaka jana kwenye vyombo vya habari mbalimbali nchini, Laurence Jumanne Mabawa, amesema atawataja...
2 Reactions
149 Replies
12K Views
MAJUKUMU YA MSINGI YA JESHI LA KUJENGA TAIFA -JKT 1. Malezi ya Vijana Vijana kufundishwa moyo wa kupendana bila kujali tofauti za itikadi, dini, kabila na kipato Kupenda kazi za mikono. Kuthamini...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Jimbo la Siha na Kinondoni kabla ya chaguzi za 2015 yalikua CCM. Wananchi walilijua hilo lakini wakachagua upinzani kujiuzulu na kugombea tena wanamaanisha waliowachagua ni mtaahira naomba...
0 Reactions
0 Replies
517 Views
Afisa tarafa wa Themi Arusha Felician Mtahengerwa amepiga marufuku wakina Mama kubeba Watoto mgongoni na kwenda nao sokoni. _ Amewataka kina Mama wote wenye Watoto waajiri Wasichana wa kubaki...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Hbr Wakuu, Najua hapa halikosekani neno, shida yangu wakuu nataka kumjua mmiliki wa Hii hotel iko sinza ya mkomilo royal hotel mana nmesikia ni ya kibopa fulani. Harakati za Kingo!
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Tundu Lisu na Lowasa, hawa ukiwasikiliza mashabiki zao wanavyowapamba utafikiri ni kweli wana huo ushawishi kumbe fiksi tupu, tulikuwa tunaambiwa eti Lowasa ana uwezo wa kukinukisha na kwamba...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Zaidi ya wagonjwa 5,529 wa saratani za aina mbalimbali wamerekodiwa mwaka 2016 katika hospitali ya Ocean Road (ORCI) ambayo ni taasisi kubwa ya saratani nchini. Miongoni mwa wagonjwa hao, yumo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi kama TZ ingekua na space agency we unadhani ingeitwaje. I vote for Tanzania aerospace research agency-(TARA)
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Habari zenu wanaJF. Leo nawatajia list ya watu walioniudhi mwaka 2017; 1. Ndalichako 2. Posta ya Temeke 3. Mods wa JF 4. Konda wa daladala 5. Benki ya NMB tawi la Tandika
1 Reactions
7 Replies
1K Views
RIPOTI ya Shirika la Afya Duniani (WHO), imeitaja Tanzania kushikilia nafasi ya 27 barani Afrika kwa vifo vinavyotokana na watu kujiua. Kwa mujibu wa ripoti hiyo yenye kurasa 34, Tanzania...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
SERIKALI imesema kuwa, Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) itafanya mnada wa hadhara wa meno ya viboko vipande 12,467 vyenye uzito wa kilo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Njoo tujadili ...kozi ipi ni best kwa sasa kati ya kozi hizi Short Courses The Institute offers Short Courses. These Courses are offered for a duration of 1 to 3 Months. The following are Short...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wana JF, Tarehe 20/10/17 niliandika mada hii: Duniani kuna mengi sikutegemea hili kunipata Sasa leo hii hapa ninaleta mrejesho wa mada hiyo, kama ifuatavyo Samahanin sana sikuweza kujibu kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mambo vipi wadau. Wadau vipi kuhusu hii fani ya ufundi wa water pump je kwa mazingira ya sasa inahitajiwa? Vijana wote mliomaliza vyuo na hamjapata ajira nawakumbusha kuwa kuna university inaitwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Poleni kwa kazi!! Mimi naomba mnifahamishe Kuhusu kozi ya AUTOCAD. Je ukisoma AUTOCAD utafanya kazi gani? Je kozi hii inakupa fursa za kujiajiri? Au kuajiriwa? Je ushindane upoje kwa sasa kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom