Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema Serikali itaandaa mpango wa matibabu kwa kutumia kadi ya bima ya afya, kwa wakazi wa Dar, katika Hospitali zote za umma, Mwananchi ambaye hatakuwa na kadi ya bima, hataweza kupata huduma ya afya katika Hospitali za umma popote Dar es salaam.
Chanzo: Mwananchi