Kozi ya AUTOCAD inalipa?

Kozi ya AUTOCAD inalipa?

Infiltrator

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2017
Posts
209
Reaction score
338
Poleni kwa kazi!!
Mimi naomba mnifahamishe Kuhusu kozi ya AUTOCAD.
Je ukisoma AUTOCAD utafanya kazi gani?
Je kozi hii inakupa fursa za kujiajiri? Au kuajiriwa?
Je ushindane upoje kwa sasa kwa wataalamu wa AUTOCAD?
 
AUTOCAD ni part ya somo katika masomo ya Quantity Surveying, Civil Engineering, Architecture hii inawafanya architect wawe wengi mitaani maana wote hapo juu wanachora vizuri sana kwa wanaopenda ko kuijua kwako haukosi 100,000 za nyumba za kawaida kabisa

Ndio maana siku zote huwa nasema Architecture mtaani ni ngumu sana kuliko hizo kozi hapo 2 juu.

NB. autocad zipo za fani mbalimbali sijui unazungumzia fani gani
 
Sasa, umefikia hatua ya kusoma program usiyojua hata utafanya kazi IPI !!??

Program yenyewe utaifaulu kweli?

Aisee....

Mkuu Myahudi Jr II , hongera kwa kumsaidia huyu.kijana.
Ila naona ukakasi sana mbele kama hajui hata utafanya kazi IPI baada ya kusoma.
 
AUTOCAD ni part ya somo katika masomo ya Quantity Surveying, Civil Engineering, Architecture hii inawafanya architect wawe wengi mitaani maana wote hapo juu wanachora vizuri sana kwa wanaopenda ko kuijua kwako haukosi 100,000 za nyumba za kawaida kabisa

Ndio maana siku zote huwa nasema Architecture mtaani ni ngumu sana kuliko hizo kozi hapo 2 juu.

NB. autocad zipo za fani mbalimbali sijui unazungumzia fani gani
Kusoma Architecture hakikisha una plan B, wallah nakuambia.., yaan investment unayofanya ya muda wa miaka mi5 then unatoka hapo na deni la milioni 40 HESLB halafu unakutana na dharau za kixenge mtaani.., acha kabisa; ndio maana nasema maisha usiyawekee formula, hayana kanuni..., hahaha
 
acha kupoteza muda na hyo kozi, Fanya vitu vya maana. naijua AutoCad nje ndan but hakuna jipya kama hauna profession mbadala(yaan civil eng, arch, qs n.k).
 
Kusoma Architecture hakikisha una plan B, wallah nakuambia.., yaan investment unayofanya ya muda wa miaka mi5 then unatoka hapo na deni la milioni 40 HESLB halafu unakutana na dharau za kixenge mtaani.., acha kabisa; ndio maana nasema maisha usiyawekee formula, hayana kanuni..., hahaha

HAKIKA kabisaa, core base ya somo hilo ni UCHORAJI RAMANI, mtaani hata fundi mzoefu anachora vizuri sanaaa, sasa hivi hadi ma ENVIROMENTAL ENG wanachora residential

unajua vipesa vya hapa na pale ukiwa chuo vinapumbaza sana ukimaliza tu changamoto zake ni hatari

kwa contractor huajiriki
kwa Cosultancy hulipwi zaidi ya 400,000
kwa client hawawajui
 
Back
Top Bottom