Samahani naomba anaejua jinsi na taratibu za kupata passport, kuanzia step ya mwanzo hadi ya mwisho na vigezo na mashati yake kama yapo. Naomba nisaidiwe.
Mwizi alimuibia mwenye duka shilingi laki moja baadae akarudi na hiyo pesa amanunua vitu vya elfu tisini na mwenye duka bila kujua akamrudishia chanji yake ya elfu kumi
Je mwenye duka alipoteza...
Giant Arab Satellite television Al Jazeera has deployed former BBC editors Tido Mhando and Joseph Warungu to steer its Swahili Service Channel set to launch in 2012, a move set to create a seismic...
Ulishawahi kujiuliza kwa nini Mbowe hajawahi kulala selo wala kukamatwa na Askari wetu ingawaje yeye ndiye Big boss wa chadema? Hata kama akiwa na shida na vyombo vyetu vya Usalama hufika mwenyewe...
Diwani wa kata ya Kyimo na mkuu wa shule ya Sekondari Kyimo wamefanya mkutano leo tarehe 23/01/2018 na wazazi wenye wanafunzi hapo shuleni wakilazimisha kuchangia TZS. 70,000/= kwa ajili ya...
Habari wanaJF,
Shirika la umeme nchini TANESCO limewakatia watu 1600 waliojiunganishia umeme kinyemela katika kipindi cha miezi mitatu ambao wamesababisha hasara ya zaidi ya shilingi bilioni 1.9...
Nina rafiki angu ambaye tumejuana nae mda mrefu sasa anataka kuja Tanzania tafadhali kwa yeyote anayefahamu utaratibu wa kupata visa ya Tanzania pamoja na gharama zake anifahamishe tafadhali
Hbr
Kuna mzee mmoja mtaani alikuwa mlevi sanaaaa ,alibahatika kupata mwanamke mpole ,mcheshi mkarimu saaana watu wengi mtaani walimpenda ,yule mdada alikuwa around 28 hazidi 32yrs
Mwanaume...
Salamu,kwa miaka nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mfumo wa hawa jamaa wa kuwasha king'amuzi chao.
Kusoma chaneli kinachukua zaidi ya dakika kumi,ukiwa umeunganishwa na extra view ndiyo...
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jjamii,jinsia,wazee na watoto Mh. Ummy Mwalimu amezindua huduma za mashine ya CT – SCAN katika hospitali ya Rufaa ya kanda ya Ziwa Bugando jijini Mwanza,ambazo...
katika pita pita nimekutana na hii habati juu ya kuyeyuka barafu za greenland. wengi tunajua kua kuongezeka kwa joto duniani ndio chanzo cha kuyeyuka kwa barafu hiyo, but imegundulik vinginenvyo...
Wanaume watatu wakazi wa kijiji cha Katete nchini Zambia wamezua mshangao kwa watu baada ya kupelekwa kwenye Kituo cha wagonjwa wa Kipindupindu wakiwa wamezidiwa kwa kuumwa wakihofiwa kuwa na...
1.Siwezi kununua gari kwa mkopo.
2.Huyo bwana wake ni mkubwa kuliko yeye, alifuata pesa tuu!
3.Iphone kitu gani, simu simu tuu bora mawasiliano.
4.Siwezi kula chakula cha kwenye fridge...
Tatizo ni kwamba neno 'Uchochezi' halijatamkwa mahali popote kwenye sheria hizo wala kwenye Sheria ya Utangazaji 1993 ambayo ndio msingi wa kuundwa kwa sheria hizo. Wala kwenye Sheria ya Mamlaka...
Wanabodi,Ijumaa Kareem.
Hivi kuna ubaya ( dhambi) kwa Mkristo kumiliki mali (utajiri) ambao either ni Wa kurithi au umeupata kwa juhudi zako mwenyewe?
Naona kama utajiri na Ukristo havina...
Wadau, sheria mpya ya mitandao inapiga marufuku kupiga picha ama video na kuisambaza mitandaoni. Matumizi ya Sheria hii ilitaka kutumiwa kwa yule kijana aliepiga picha za hostel ya JPM iliyopata...
Nadhani Polisi wanafanya mzaha kwenye mambo serious. Juzi Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma, SACP Gilles Muroto alisema kwamba walipokamata Nabii Tito walimpeleka hospitali ya Mirembe na...
Kumekuwapo na ukengemfu Kidogo kuhusu hii alama, wengi wetu tukiishia kusema ni masonic sign.
Ila ukipata kujisomea kwenye Lugha za alama ambazo ni maarufu kwa jamii ya viziwi, lugha alama hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.