Duuuuuh ivyo vyote sina mm nilikua nawaza nitafte passport tuu ili nikae nayo kwa future use, kumbe mpaka uwe na safari DuuuuuhNenda Uhamiaji.
Jiandae na barua ya mwaliko na tiketi ya kwenda na kurudi.cheti cha kuzaliwa chako na cha mzazi.barua za wadhamini na picha n.k.
Ebu pumzika nyumbani.ufanye mambo mengine.usiende Uhamiaji.ukienda wa moto utarudi wa baridiDuuuuuh ivyo vyote sina mm nilikua nawaza nitafte passport tuu ili nikae nayo kwa future use, kumbe mpaka uwe na safari Duuuuuh
Hahahahahaaaa kwa mahitaji hayo kweli inabidi tu nipumzike nyumbani, maana nilijua naweza kua nayo tuu mpaka ntakapopata safar ndio niitumie, na ingenishawish kutafta izo safar [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ebu pumzika nyumbani.ufanye mambo mengine.usiende Uhamiaji.ukienda wa moto utarudi wa baridi
kama una ela ya kupitia mlango wa nyuma nenda tu.mshahara hautoshi itapatikana namna tuHahahahahaaaa kwa mahitaji hayo kweli inabidi tu nipumzike nyumbani, maana nilijua naweza kua nayo tuu mpaka ntakapopata safar ndio niitumie, na ingenishawish kutafta izo safar [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Watakwaambia.miezi miwili kabla ya safari.ndo uende ukaombe.Hahahahahaaaa kwa mahitaji hayo kweli inabidi tu nipumzike nyumbani, maana nilijua naweza kua nayo tuu mpaka ntakapopata safar ndio niitumie, na ingenishawish kutafta izo safar [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Passport za makundiUhamiaji si wamesitisha kutoa passport....
Ova