Unasafiri katikati ya pori zito sana. Ukiwa peke yako bila silaha yoyote ile. katika kutembea mara unakutana na simba. Unampita ile kumaliza kumpita tu anaanza kukukimbiza unakimbia kwa nguvu zako...
Baada ya kundoka Mzee Masako nilijiuliza ni nani atavaa viatu vyake katika kipindi cha Kipimajoto.
Lakini kwa muda mfupi ambao umeendesha kipindi hiki umekitendea haki kwa 100% na umekiendesha kwa...
Wiki kama mbili hivi, katika harakati zangu za kusaka mahela, nilitokezea mji mmoja. Basi nikiwa nimepanda Bajaji nikasikia mlindimo wa muziki kama vile kulikuwa na mdundiko au kigodoro. Nikaamua...
Habari za siku Wanabodi!
Naomba kujuzwa/kuelekezwa hii Shule tajwa nitaifikia vipi, hasa kwa Wakaazi wa Kigamboni na viunga vyake au mtu yoyote anayefahamu ilipo naomba anielekeze.
Maana...
KUMBE KWELI, NDIYO MAANA....?
Prof Juma Kapuya alifundisha Botany pale mlimani, lakini kinachomtambulisha sasa ni ubunge wa Urambo Magharibi/Kaliua huko na uwaziri wa elimu, michezo, kazi,vijana...
kwa namna moja unaweza ukahisi vibaya watu wanaoishambulia biblia au dini ya kikristo, ila kwa namna nyingine wana haki ya kuhoji utata uliopo.
mimi pia naomba nihoji hii alama niliyoikuta kwenye...
Habari zenu wadau,
Kuna huu ujenzi wa Makao Makuu ya Wizara ya Maji pale geti maji njia panda ya chuo. Huu ujenzi nauona umesimama mara tuu baada ya agizo la Mh. raisi kutaka Wizara zote zihamie...
Hii si haki kabisa ada za vituo vya Matangazo(Media) mnatoza kwa USD na kuimpose exchange rates zenu kwanini ada isitozwe kwa TZS? Mheshimiwa Rais JPM wachunguze hawa jamaa wa TCRA huku nako kuna...
Kuna mama mmoja anauza mihogo ya kukaanga hapa CBE Dar nje ikifika saa 12 hadi moja moja flani hivi jioni.
Amekuwa msaada mkubwa sana kwa kweli hasa kwa wadada warembo wa CBE, utakuta sister du...
Zaidi ya wanafunzi 38 wa shule ya sekondari mkolani jijini Mwanza wamenusurika kifo, kufuatia moto mkubwa kuteketeza vyumba viwili vya bweni la wasichana, huku wanafunzi wawili wakizimia kwa...
WAMILIKI wa Pikipiki za kubeba abiria maarufu kama Bodaboda, wametakiwa kuanza kujiandaa kwa mfumo wa ulipiaji mapato kupitia leseni ya usafirishaji wa abiria.
Kauli hiyo ilitolewa kwenye...
Habari zenu wanajamvi,
Tunawategemea watu fulani waje watusaidie katka mapambano ya kimaisha bila ya kuwafanyia uchunguzi au kujiuliza kama watu hao wapo tayari kutegemewa. Hii ni hatari sana...
Matangazo ya Redio Magic FM ya Dar es Salaam yamerejea hewani. Magic FM na Redio Five ya Arusha zilifungiwa na Waziri wa Habari kwa muda usiojulikana.
Sina taarifa ya kufunguliwa kwa Redio Five...
Mh. Rais alisisitiza ukifanya Malipo yeyote dai risiti ili serikali ipate mapato! Sasa ni kwanini askari wa barabarani wakitoza fine hawatoi risiti na wanaishia kukupa notification na hela mtu...
Kwanza nianze kabisa kukiri kuwa nami ni mmoja wa Wadau wenu wa Kipindi chenu cha 360 hasa kutokana na aina yenu ya Kipekee kabisa ya uwasilishaji wa ' issues ' ambazo mmezifanya ziwe na mvuto na...
Heshima kwa Dk Jpm
Wapoo walioahidi NA kuondoka NA ahadi zaoo leoohii hats mwaka ujafikisha umeleta mbili kwamahesabuya haraka 2020 ukona ndege 7+
MUNGU AKUONGEZEE UHAII AKUPE NGUVU YA KULETA...
Jeshi la polisi mkoani Mbeya, jana lilisitisha kwa muda mazishi ya aliyekuwa askari polisi, kitengo cha usalama barabarani mkoani Arusha, Allen Mwanasiasa, baada ya ya kuona bendera za Chama cha...
Tunaitaji mjadala wa hili Mh. DPP. Kama mtu anakamatwa na kg kumi za mirungi Jumanne Ijumaa anapewa miaka 30.
Huyu mama wa kichina mchezo gani unaendelea why wasimhukumu ama kumwachia kama mnaona...
Imetokea kwa mashirika mengi ya ndege kwa sasa kupiga marufuku abiria kupanda,kuchaji au hata kubeba mzigo wenye simu za Sumsung Galaxy Note 7.
Ambatanisho hapo inaonyesha Oman Air na RwandAir...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.