Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchembaakiwa Bungeni leo Septemba 3, 2026 amezungumzia malipo ya wanajeshi waliopigana katika Vita ya Kagera Mwaka 1978.
Pia soma ~Mafao ya Wanajeshi waliopigana vita ya...
Matendo 26:9 NEN
[9] “Mimi pia nilikuwa nimeshawishika kwamba imenipasa kufanya yote yale yaliyowezekana kupinga Jina la Yesu wa Nazareti.
Wapingaji wa uwepo wa Mungu ni wengi, wanaolikataa jina...
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imetembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa lengo la kubadilishana uzoefu, kujifunza na kuibua maeneo mapya ya ushirikiano...
Nimelipia huduma za Serikali kupitia Lipa Namba kwa miamala miwili ili kumtoa mgonjwa wangu hospitalini.
Nimeelezwa kuwa malipo hayo hushughulikiwa ndani ya saa 24, lakini hadi sasa zaidi ya saa...
Oh salaale! Nimekumbuka katika historia ya soka duniani ilipata kutokea radi moja matata sana huko Kongo iliyoua wachezaji wote 11 wa timu ya Basanga (Home) na kuwabakisha wale wa timu...
Kuna taasisi inaitwa Information Systems Audit and Control Association ISACA Audit Association wanaendesha mafunzo ya CISA (Certified Information System Auditor).
Sijajua kwa wengine lakini...
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 20+ naweza kujiita ni muathirika wa tukio ambalo naona linaelekea kuwa la “kitapeli” uliotendwa na kampuni inayojitangaza kutoa fursa za kazi na mafunzo nje ya...
Waumini hawamchangii mwanadamu, wanamchangia Mungu na huduma yake.
Mwanadamu akizila na kununulia kobasi na kuongeza wanawake, sisi hatuhusiki.
RITA naomba muende na Minaaninii mingine kufanya...
Aliyekuwa Ofisa Mnadhimu wa Chuo cha Polisi Moshi (CCP), Jonathan Shana amefariki dunia asubuhi ya leo akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.
Na. Philipo Hassan - Dodoma
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Massana Mwishawa, Agosti 31, 2026 amekielekeza Kitengo cha Mahusiano ya Jamii kuongeza wigo wa...
Ushuhuda
Kuna Mdada mmoja alimaliza chuo miaka 4 imepita , baada ya kumaliza chuo Mambo yakawa Mambo, ameingia mtaani hakuna ajila akatafuta huku na Kule hakapata mahali pa kujishikiza
Miaka...
Eyce
Marcostilone
life255
Hata uende wapi, ufanye nini na uamue uishi vp ujue kuwa pesa na urahisi wa maisha ndio inabaki kuwa motisha ya confidence, afya chanya ya akili na amani moyoni.
Na...
Tangu jana nimeshindwa kununua umeme kupitia Airtel na Halotel. Airtel nimekatwa hela na sijapata token. TANESCO shughulikieni tatizo hili tunalala gizani hela ya kununua umeme tunayo.
Jamani umeme umekatika kila mahali ama ni huku madongo kuinama tu?
Nauliza maana it's been a while tokea umeme ukatike usiku alafu usirudi ndani ya muda mfupi 😵
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limebainisha mikakati na hatua mbalimbali zinazochukuliwa katika kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa mazingira utokanayo na kelele...
One thing about maisha ni kuwa haya rudi nyuma...
So kama present yako leo usipo iishi utakavyokuwa utakuja kui mourn au kuijuita mbele ya safari..
Binafsi katika utoto wangu sikuruhusiwa kuwa...
Taifa limeharibika vibaya sana,viongozi wanajiona ni miungu watu,wanamiliki uhai wa kila mtu,rushwa inanuka kila ofisi na ALIYEJIPA MADARAKA YA KUONGOZA NCHI KIHUNI NDIYE ANAHARARISHA,vyombo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.