Bunju yote hatuwezi kuwa tumeishiwa units kwa wakati mmoja bana 🥴Angalia units
Inabidi kwakweli 😮💨Upo hama unapoishi
Ni wapi nije nipanunueInabidi kwakweli 😮💨
Embu ngoja tuhame kwanza usije ukatuacha homeless.Ni wapi nije nipanunue
Huenda kuna tatizo kwenye transformer yenu au line inayowalishaBunju yote hatuwezi kuwa tumeishiwa units kwa wakati mmoja bana 🥴
Labda wasiojulikana wana kikao huku kwetu 🙇🏾Hapa tulipo umeme upo wa kutosha
Possibly 😔Huenda kuna tatizo kwenye transformer yenu au line inayowalisha
Poleni
Nataka muhame haraka nawapa helaEmbu ngoja tuhame kwanza usije ukatuacha homeless.
Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwa msaada zaidi,Jamani umeme umekatika kila mahali ama ni huku madongo kuinama tu?
Nauliza maana it's been a while tokea umeme ukatike usiku alafu usirudi ndani ya muda mfupi 😵
Tanesco wanataka jina wamsaidie ndugu mlalamikaji 😅😅😅Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwa msaada zaidi,
Jina
Mkoa
Wilaya
Eneo
Namba ya simu
Kitu maarufu karibu na wewe.^CM
Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana na TANESCO Huduma kwa Wateja.Tanesco wanataka jina wamsaidie ndugu mlalamikaji 😅😅😅
Ngoja basi umeme urudi tuchaji vikoroko vya kutumia njiani.Nataka muhame haraka nawapa hela