Waziri awaita wakina Sheikh Mwaipopo na wengine

Waziri awaita wakina Sheikh Mwaipopo na wengine

Manyanza

Platinum Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
20,871
Reaction score
52,691
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ametoa wito kwa Makundi mbalimbali kufika bila kukosa katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Jijini Dar es Salaam, kesho Septemba 4, 2026.

Miongoni mwa walioitwa ni Sheikh Said Mwaipopo pamoja na kundi lake la mabaunsa, Viongozi wa Vikundi vya Mabaunsa, Mwenyekiti na Katibu wa Wamiliki wa Makampuni Binafsi ya Ulinzi, ambao wametakiwa kufika saa 3 asubuhi.

Aidha, Katambi amesisitiza kuwa Wasanii na Watu maarufu mitandaoni ambao hawakuitikia wito wake wa awali wa Septemba 2, 2026, wanatakiwa kufika bila kukosa kesho katika Wizara hiyo.

Amewataja wanaotakiwa kufika kuwa ni Jenifer Jovin (Niffer), Godfrey Tumaini (Dudubaya), Nasma Hassan Athuman (Nana Dolls) na Twalib Bakari Mungiya (Uncle T) ambao wametakiwa kufika saa 4 asubuhi.
 
downloadfile-159.jpg
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ametoa wito kwa Makundi mbalimbali kufika bila kukosa katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Jijini Dar es Salaam, kesho Septemba 4, 2026.

Miongoni mwa walioitwa ni Sheikh Said Mwaipopo pamoja na kundi lake la mabaunsa, Viongozi wa Vikundi vya Mabaunsa, Mwenyekiti na Katibu wa Wamiliki wa Makampuni Binafsi ya Ulinzi, ambao wametakiwa kufika saa 3 asubuhi.

Aidha, Katambi amesisitiza kuwa Wasanii na Watu maarufu mitandaoni ambao hawakuitikia wito wake wa awali wa Septemba 2, 2026, wanatakiwa kufika bila kukosa kesho katika Wizara hiyo.

Amewataja wanaotakiwa kufika kuwa ni Jenifer Jovin (Niffer), Godfrey Tumaini (Dudubaya), Nasma Hassan Athuman (Nana Dolls) na Twalib Bakari Mungiya (Uncle T) ambao wametakiwa kufika saa 4 asubuhi.
Waziri anapenda sana kiki huyu
 
Maigizo ya kumuita huyo Sheikh Mwaipopo ili kuigiza kwamba wanamkataza kuzungumza yale ambayo alifanya kwenye press na wale mbwa mwitu, wakati kiuhalisia wao ndio walimtuma..

Hii nchi unafiki utaisha lini?
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ametoa wito kwa Makundi mbalimbali kufika bila kukosa katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Jijini Dar es Salaam, kesho Septemba 4, 2026.

Miongoni mwa walioitwa ni Sheikh Said Mwaipopo pamoja na kundi lake la mabaunsa, Viongozi wa Vikundi vya Mabaunsa, Mwenyekiti na Katibu wa Wamiliki wa Makampuni Binafsi ya Ulinzi, ambao wametakiwa kufika saa 3 asubuhi.

Aidha, Katambi amesisitiza kuwa Wasanii na Watu maarufu mitandaoni ambao hawakuitikia wito wake wa awali wa Septemba 2, 2026, wanatakiwa kufika bila kukosa kesho katika Wizara hiyo.

Amewataja wanaotakiwa kufika kuwa ni Jenifer Jovin (Niffer), Godfrey Tumaini (Dudubaya), Nasma Hassan Athuman (Nana Dolls) na Twalib Bakari Mungiya (Uncle T) ambao wametakiwa kufika saa 4 asubuhi.
Kwa level ya minister sidhani kama anatakiwa ku-deal na petty issues kama hizi instead nilidhani ni wakati wa yeye kuitisha press azungumzie utekaji hasa akigusia recent issue ya attempted abduction of Malisa na ile involving Rose pale Mlimani City.

This petty issue awaachie wazungumzie Mgambo wa Jiji!!
 
Back
Top Bottom