mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 845
- 1,671
Habari,nina malalamiko kuhusu ndugu zetu wa NSSF mkoa wa mtwara hasa wilaya ya masasi kuna watumishi walikuwa wanafanya kazi kituo cha afya REHEMA newala na walikuwa wanakatwa pesa zao lakini walivoondoka kazini mpaka leo hawajapata pesa zao na wengine wamefariki wakiwa hawajapata kuna ndugu zangu wamefika mpaka kwa mwanasheria wa wilaya lakini wakipigiwa watumishi wa NSSF hakuna wanachofanya watu wanatumia nauli kutoka newala kwenda masasi lakini hakuna majibu ya maana afadhali yule meneja wa zamani alikuwa anafatilia na watu wakawa wanapewa hela zao ila huyu wa sasa hivi hakuna analo fanya ndugu zetu mama zetu dada zetu wanateseka
TUNAOMBA UTUPAZIE SAUTI
TUNAOMBA UTUPAZIE SAUTI