Watanzania wote tuingie kwenye bima ya afya. Tutaepukana na matatizo mengi sana ambayo tumeyatafutia majawabu ya dharura, lakini yanahitaji yapate majawabu ya kudumu
Kuna huu wizi ambao unafanywa na Mtandao wa VODCA kuhusu Kupombeka bundle la Internet pindi tu bundle lako linapokuwa limeisha.
Wao wanachofanya ni kukuunga kwa lazima hata kama hautaki wao...
Wakuu salaam
Nimekuja kwenu tuweze kujadili hili swala.
Kwa miaka mingi Dunia imekua ikiendeshwa na Sheria ya supply and demand (Yaani uwingi wa kitu na uhitaji wa kitu). Leo nakuja kwenu...
1. PONGEZI.
Napenda kukupongeza Kwa kuwa kioo Cha jamii. (Wazee,vijana na watoto pia)
2. USHAURI.
Wasihi vijana/watoto wajikite zaidi "kuzingatia masomo" kupitia sm badala ya Yale mambo yako (ya...
Mimi nashauri CCM wenye madaraka watupe katiba alafu kuwe na kifungu cha kuwalinda waliokuwa wameuwa raia, walio tufisadi yani tuanze upya tujdai kama hakukuwa na kitu yan tuanze upya kama taifa...
Magari ya Wagonjwa yawe tayari muda wote. Tulishanunua magari, yawe na mafuta. Kila wakati yawe na mafuta. Tusichangishe wagonjwa kuweka mafuta kwenye gari ya Serikali kubeba mgonjwa ambaye yuko...
Hakika mwili wa mwanamke unaweza kua wa kuvutia sana January na kufika December ukawa unachukiza kutokana na kunenepa kwa maeneo kadha
mimi nilidhani ni tumbo pekee linavuruga muonekano ila...
Maeneo ambayo mnaona ni ya hatari sana Watanzania tunayajua. Tunayajua maeneo yenye historia ya mafuriko. Ni vyema tukaanza kuchukua tahadhari kwa sababu hicho ndicho tunachoweza kukifanya-Waziri...
Ndani ya mwezi huu huu, muwe mmeshatangaza kupata mkandarasi wa kuanza kujenga hizi kilomita 11 za awali ambazo zitaziba hili pengo kuanzia hapa mpaka kwenye lami na kupita kidogo mji wa...
Heshima yenu wakubwa kwa wadogo.
Nimekuwa mdau wa ku view threads humu bila ku login.
Hili ni chapisho langu la kwanza tangu nijiunge humu kitambo nikiwa O-level, na kwa sasa bado sijafikisha...
Mimi ni mtoto wa mzee huyu mwenye miaka 90, na nimeamua kuleta suala hili hapa baada ya kuona baba yangu amechoka na kuteseka kutokana na mgogoro wa eneo lake.
Kwa mujibu wa nyaraka tulizonazo...
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Tanzania Stanley Kafu (wa pili kulia) wakipeana mikono na Diwani wa Kata ya Kawe Mheshimiwa Fabian Malima (katikati) baada ya kukabidhi...
Ngoja nikwambie mambo ambayo huko Mwanza ulikuwa ukiyafanya unaonekana wa ajabu...!
1. Mwanaume kula viazi mchana kama chakula... mwanaume kama alikuwa anakula viazi basi viwe vimechomwa 😂
2...
Hellow wa JF.
Naona kuna taarifa nyingi zinasamba za kutunza chakula ili kujikinga na njaa wakati wa Mvua za El Niño.
Naomba kuwakumbusha pia wadau mnaoishi kwenye mabonde na vichochoroni...