Kiti kung'ang'aniwa 2030

Kiti kung'ang'aniwa 2030

Waislamu hawana shida na madaraka,

Hawajioni Mungu mtu,

Hii shida iko kwa wagalatia, akipata madaraka anajiona Mungu,

Angalia hata huko makazini kwenu, ukiongozwa na mkiristo hasa wa nyanda za juu kusaini au kaskazini lazima mpate taabu,

Wakristo wasio na shida ni wale waliokulia mikoa yenye waislamu wengi,, wanakuwa hawana uchu na madaraka au hawajioni mungu mtu
 
Waislamu hawana shida na madaraka,

Hawajioni Mungu mtu,

Hii shida iko kwa wagalatia, akipata madaraka anajiona Mungu,

Angalia hata huko makazini kwenu, ukiongozwa na mkiristo hasa wa nyanda za juu kusaini au kaskazini lazima mpate taabu,

Wakristo wasio na shida ni wale waliokulia mikoa yenye waislamu wengi,, wanakuwa hawana uchu na madaraka au hawajioni mungu mtu
Mkuu apa atujazungumzia udini,weka pemben iyo mada yako,atutaki taharuki za bure apa
 
Mkuu apa atujazungumzia udini,weka pemben iyo mada yako,atutaki taharuki za bure apa
Ndo ukweli lakini,

Hili alinambia jiran yangu msabato kipindi cha magufuli,

Nikisimkisikia naamalalamikia Samia namuambia ulisahau ulichosema kipindi cha magufuli? Anasema tutamkumbuka Samia akija mwenzetu 2030.
 
Samia anatakiwa kuitolea kauli hoja hii ili watu waelewe msimamo wake ni upi.

Si kutuacha tunajadili kauli za wapambe ambazo zinaweza kuwa zao tu, au zina baraka zake Samia, tunajadili habari tukiwa gizani bila kujua kipi ni kipi.

Na iwapo hataitolea kauli hoja hii, tafsiri ya watu wanaotumia akili itakuwa kwamba, hoja hii imetolewa, au angalau imebarikiwa, na Samia mwenyewe.

Na tafsiri hii itakuwa ya sawa.

Hususan kwa sababu huyu moambe si mpambe wa kawaida tu, huyu mpambe ameshawahi kutoa kauli ambazo zilikuja kutimilika kwa vitendo vya serikaki ya Samia.
 
Ndo ukweli lakini,

Hili alinambia jiran yangu msabato kipindi cha magufuli,

Nikisimkisikia naamalalamikia Samia namuambia ulisahau ulichosema kipindi cha magufuli? Anasema tutamkumbuka Samia akija mwenzetu 2030.
Uzi wangu haujataja dini ya mtu yoyote yule,ivyo usije kutuletea taharuki bure apa
 
Back
Top Bottom