Bajeti imesomwa ila sijasikia mambo mengi mfano:-
-Kuhusu vifaa vya ujenzi
-gharama za mawasiliano
-watumishi na mahitaji yao eg.kima cha chini
-upatikanaji wa maji na huduma za afya hasa vijijini...
Ndugu zangu wapendwa tupo katika wakati mgumu kimaisha japo nasema hivo kwa walio wengi wako hivo inakuaje linapokuw alimetokea tatizo tunawahi kulaum na kuja juu kwa bila kutafakari mfano.
Timu...
Mh Raisi hongera kwa majukumu ya siku hadi siku
Ninaitambua dhamira yako njema kwa watanzania wakipato cha chini kupitia "elimu bure"
Kutokana na uwezo/bajeti ndogo kwa wanafunzi wa elimu yajuu...
Katika Pitapita Zangu Mtaani Nimemkuta Jamaa Anafurahia Ndugu Yake Kuteseka Mtaani Kisa Eti Tu Ndugu Yao Yupo Katika Kundi Fulani La Imani Madhehebu Tofauti.Anae Mchukia Tajiri Anaechukiwa...
Je kauli ipi ilikuacha mdomo wazi mpaka Leo kutoka kwa viongozi wetu:
1: kuleni nyasi ndege ya rais lazima inunuliwe. (Mramba)
2. Foleni dar ni ishara ya maendeleo (jk)
3. Acheni wivu wa kike...
Niliwahi kuandika kuhusu MAFURUKU"
Na Leo naandika Kuhusu SENGERETI
Najua jibu rahisi itakuwa ni makosa madogo madogo ya kiuandishi...
Sawa basi tupeni maana ya hili Neno SENGERETI maana ni Neno...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mkuu alituahidi hatotuangusha.mbona mimi naona tumeshaanguka tena tumeangukia pua na pumzi zinaenda kukata au ni ule msemo wa wahenga kwamba baada ya dhiki...
Poleni na MAJUKUMU
Ndugu zangu bajeti ya Leo binafsi nimeona ina dalili njema kwa sehemu hasa ikitekelezwa.
Ingawa bado kama nchi tunakazi kubwa ya kubuni vyanzo vipya vya mapato tena makubwa...
Maumivu tena hakuna nyongeza ya mshahara Kwa watumishi Wa uma kulingana na bajeti iliyosomwa Leo.
Mwaka Jana fedha zilizotengwa Kwa mishahara ni sawa na kiasi kilichotengwa mwaka huu=tilioni 7.3.
Aman iwe nanyi wapendwa
Kichwa cha habali kinajieleza vizur sana hapo naomba uhusike nacho
Kwanini marais wetu wamekuwa ni wakwepaji wakupwa juu ya adhabu za kunyongwa kwa waharifu wa mauaji...
Itifaki izingatiwe.
Kwa wale wenzangu na mie tunaotumia usafiri wa daladala,ni kero gani mnazokumbana nazo.? Binafsi huwa nachoshwa sana na abiria wanaopiga simu kwa sauti huku wakieleza matatizo...
Wanajukwaa hongereni kwa shughuli za mchana kutwa
Lengo la uzi huu nikutaka kuonesha mshangao wangu juu ya road license kuhamishiwa kwenye mafuta
Naomba wajuzi mniambie je,hapo mwananchi wa...
Wandugu kuna ile kampuni iliyoingia mkataba na Tanesco,linataka kurenew mkataba wa kinyonyaji tena na tanesco na kipindi cha nyuma kamati ya bunge wallitoa tamko kwamba hawana Sifa,sasa Ewura...
Mm Nina experience ya miaka 5 kwenye Kampuni flani.Unafanya kazi ya mkataba.Nina degree ya biotechnology kutokana Sua.siwezi kusoma zaidi itabd niache kazi.kazi hii ni ya udhia mwingi ila mshahara...
habari zenu member!
kuna swali naliomba kuuliza "wizara ya nishati na madin"
hivi hapa tarime tunatumia umeme wa gridi ipi haiwezi kupita wiki umeme umetulia bila kukata karibu kila siku umeme...
Hii ni moja ya michango bora katika Bunge linaloendelea sasa. Hamna gari inayostahili kulipia road licence kama haipo barabarani, cha ajabu wamiliki wenye magari yasiyotembea kwa ubovu ama ajali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.