How na kale bado ipo?Kabla ndio, sasa hapana...
Hii ni kwa imani ya Wakristo, na Mungu wao Wakristo...
How na kale bado ipo?
Basi heading ingosemeka hivi "je MUNGU bado anahitaji damu ya wanyama kama sadaka?Kwa mujibu wa Biblia, zamani za Uyahudi wanyama walifanywa kama sadaka ya damu kwa ajili ya ondoleo la dhambi, upatanisho na Mungu aliyewaumba...
Lakini baadaye alipokuja Yesu Kristo, akauawa na akamwaga damu ambayo ikawa mbadala wa damu za wanyama...
Ukisoma hizo kafara za damu hapo mwanzo, hawakuwa wakitoa sadaka aina yeyote ya mnyama bali kulikuwa na sifa za aina ya mnyama wa kutolewa kafara...
Lazima uteme bungo😁HAKUNA!
Mungu yupi?Basi heading ingosemeka hivi "je MUNGU bado anahitaji damu ya wanyama kama sadaka?
Kwa sababu hawamwamini YESU wao bado wanamsubili masihi wao aje awaokoe wayahudiMungu yupi?
Wayahudi na Waislamu bado wanatoa Sadaka za wanyama
Basi heading ingosemeka hivi "je MUNGU bado anahitaji damu ya wanyama kama sadaka?