SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,280
Tarehe 13/3/2018 nilisikiliza taarifa ya habari saa mbili usiku kutoka startv.
Habari ilisema kwamba wafanyabiashara wanalalamika kwa kunyanyaswa wakikutwa na mabondo na hutozwa faini ya sh milioni mia moja.
Habari ikaendelea kwamba kilo moja ya mabondo huuzwa sh laki moja kwa kilo.
Nikawa najiuliza: Hayo mazao ya sangara yaitwayo mabondo yanayouzwa kilo sh laki moja ni nini hasa? Na je matumizi yake ni kwa viwanda au chakula kwa binadamu?
Kwa anayejua naomba anieleze mabondo ni nini hasa na kazi yake ni ipi?
Habari ilisema kwamba wafanyabiashara wanalalamika kwa kunyanyaswa wakikutwa na mabondo na hutozwa faini ya sh milioni mia moja.
Habari ikaendelea kwamba kilo moja ya mabondo huuzwa sh laki moja kwa kilo.
Nikawa najiuliza: Hayo mazao ya sangara yaitwayo mabondo yanayouzwa kilo sh laki moja ni nini hasa? Na je matumizi yake ni kwa viwanda au chakula kwa binadamu?
Kwa anayejua naomba anieleze mabondo ni nini hasa na kazi yake ni ipi?