Hi wana jamii forums
Niseme tu it's an honor kupata jukwaa kama hili la kushare life experience.
Kipindi chote nasoma chuo,jijini dizim nilipanga toka niko first year kuwa nikimaliza tu,I will go...
Jeshi la Polisi Dar,limekiri kumshikilia mtangazaji wa SHILAWADU,Soud Brown kwa uharibifu wa Mali.
Alionekana kwenye video akiwa na mwanamuziki mmoja wa kike wakirusha juu noti za Sh. 10,000 na...
Kitabu cha Malaki ni cha mwisho kati ya vitabu 12 vya Manabii wadogo ambavyo, pamoja na vingine vingi, vinaunda Tanakh, yaani Biblia ya Kiebrania. Hivyo ni pia sehemu ya Agano la Kale katika...
Mnaweza kutembelea hii mada hapo chini kama ilivyoweza kuletwa na mmoja wetu mwaka 2013...Nakumbuka ugomvi kati ya Wamiliki wa magari na JPM kipindi hicho akiwa Waziri wa ujenzi na ulikuwa mkubwa...
Wakuu,leo nmeenda home ,kwa wazaz kabsa...bi mkubwa kanipikia misos kanipakia kwenye hot pots nasepa navyo home hapa .hahahaha..
Juz nilikuja na uzi wa hal yangu mbaya ya ubachela jins inavyoni...
Basi la kampuni ya Simanjiro Express linalofanya safari zake kati ya Arusha kwenda Simanjiro limepata ajali ya kupinduka asubuhi ya leo katika maeneo ya kijiji cha Landanai.
Kwa taarifa za awali...
CHIMBUKO LA MSEMO 'WITCH HUNT'!
Kwenye simulizi pendwa, zilipendwa, za hadithi ya 'MASHIMO YA MFALME SULEIMAN' kuna 'character' mmoja mashuhuri sana naye si mwingine bali ni 'kibibi kizee...
Nianze kwa kusema pesa ni sabuni ya roho. Usipokuwa na pesa hata roho yako inakuwa chafu.
Pia pesa ni jawabu la mambo mengi sana. Kamwe usidharau pesa wala kuibeza.
Uzi huu inajikuta sana...
Alianza Obama rais mstaafu waTaifa kubwa kabisa kiuchumi na kijeshi duniani na Picha tukaziona wakiwa chuo kikuu wakati penzi likiwa moto moto na mkewe japo hajawai kuwataja mademu wake wa...
Maofisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wameondoa kwenye soko zaidi ya tani moja ya nguo za ndani za mitumba ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wa shirika hilo la kuhakikisha nguo hizo hazitumiwi...
Bukoba. Iko hivi. Kama una mgogoro na mwenza wako usikubali akajifungue kabla hamjapatana kwa sababu mtoto atakayezaliwa anaweza kusajiliwa kwa jina la baba mwingine na maisha yakaendelea...
Tunaanza kwa salamu Za jumapili,
Lengo la Uzi huu siyo kuimiza ukabila, ila nikukumbusha wahaya kuwa mnachukiwa na kutengwa,
Ukienda ofisi ambayo kuna mchaga unaomba kazi akiona jina la kihaya...
TAKUKURU imewataka aliyekuwa Mwenyekiti wa kamati ya usajili klabu ya Simba Zacharia Hans Pope na Frankline Lauwo kujisalimisha katika ofisi zake au kituo cha polisi kujibu tuhuma zinazowakabili...
Bakema na bagosha waziri mwakyembe alisema kuwa wanaondoa FTA channels kwa lengo la kulipeleka hilo swala bunge la mfalme ndugai
NASHANGAA MPAKA SASA NINI LENGO LAO MAANA TBC IPO KWA HEWA NA...
Kuna mambo yanatokea Tanzania ambayo kwa kweli watu watashindwa kuyavumilia muda c mrefu
Nashauri UN ibadili kanuni zake za kutoingilia mambo ya ndani ya nchi mwanachama kanuni hizi ndio...
Mbona Hatoi Mrejesho Kama alivyo tweet? Musiba Hajatekeleza agizo la Kabwe, muda ushapita, kimya kimetanda, na watu wamesahau ahadi wako busy na ukonga na monduli. et wanalalamikia matokeo!! na...
Leo tarehe 22 mwezi wa 5, mbwa mwenye kichaa wa mtaa wa Njedengwa ameng'ata watoto kadhaa, baada ya raia kushindwa kumuua tukapiga simu polisi kuja kusaidia kumuua mbwa huyu, polisi wamekuja na...
Wazazi wetu walikuwa wapiganaji sana kuliko vijana ' vilaza ' wa leo . Wazazi wetu walituzaa kibao huko kijijini halafu hawajawahi kuajiliwa na mtu yeyote, wamekuwa ni wakulima wa vishamba vidogo...
Huu ni ukweli usiopingika hasa kwa wafuatiliaji wa siasa kama sisi kuwa ccm inaendeshwa na tume ya uchaguzi kwa wakati huu
Kwa sasa ni rahisi wananchi kuamua lakini tume ikaamua ijuavyo juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.