Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,963
Wakuu,leo nmeenda home ,kwa wazaz kabsa...bi mkubwa kanipikia misos kanipakia kwenye hot pots nasepa navyo home hapa .hahahaha..
Juz nilikuja na uzi wa hal yangu mbaya ya ubachela jins inavyoni cost
Nkaamua niende leo nkamsalimie bimkubwa ,
Nme enjoy kwakwel,..hii misos ni ya wik mzima.ni mwendo wa kupasha tuu
Ni hayo...story of my daily life
Juz nilikuja na uzi wa hal yangu mbaya ya ubachela jins inavyoni cost
Nkaamua niende leo nkamsalimie bimkubwa ,
Nme enjoy kwakwel,..hii misos ni ya wik mzima.ni mwendo wa kupasha tuu
Ni hayo...story of my daily life